Venturimeter
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 224
- 523
Kupata mume hapa ni ngumu, awe makini maana ataishia kugegedwa tuu na wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana komwe si taqoUnatako..? Tuanzie hapo
Neva yua brooo...😂😂😂😂
Mai broo...siwezi shindwa kirahisi namna huyo..😜
😂😂😂😂Mai BROOOONeva yua brooo...
Tena ukinizingua naweza kuliamsha dude ujue. Ile kesi yetu ilee inaweza ikafufuka upya ohoo! 😁
Hebu nifungulie PM chap nikunong'oneze kakitu mara moja mai dia sis 😁😁😁💪💪💪😂😂😂😂Mai BROOOO
🤣🤣 brooo usinifanyie ivooo..alafu Mimi nawewe tumetoka mbaali na hatushindwani hata kidogo..
Ngoja nikimbie usije liamsha dude buree..ilove you my brooo
Kuna huyu anahonga range tu nikutajie Id hapa au pm????Wanaume wa jf hawa wabahili 😃
Poa Poa Mai bro.Hebu nifungulie PM chap nikunong'oneze kakitu mara moja mai dia sis 😁😁😁💪💪💪
Kwani wakati unaenda sokoni kununua nyanya unajuaje ndani ina mchuzi?Unatako..? Tuanzie hapo
Hatimaye Mungu umenikumbuka na mimi maskini. Ngoja nislide kwenye PM ya huyu mrembo.Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Makaveli bhana[emoji16]Mimi najua kuitafuta pesa haswa, nishawahi poteza elfu mbili, wakati natoka kariakoo, nikatoka kuanzia mbagala kwa mguu naisaka elfu 2 yangu, nikaja kuipatia mtoni mtongani, niliangusha pale wakati nakula miwa [emoji23]
Na kigoma kwenyewe mtandao wa shida sanaUnyama mwaisa..
Akisema ana shida ya laki, unamwambia awe na subira utamtumia laki na nusu, ila sasa hivi upo kwenye gari unaenda kigoma. [emoji23]
Mtoa mada utoto mwingiAliposema degree nimesepa mazima nilipoona kkkt nitafurahi kweli degree ndio imenikimbiza
Makaveli kaoa humu jfHivi JF Kuna waoaji kweli? Sijawahi ona shuhuda humu mtu kupata mwenza wa maisha zaida ya breakup, all the best Binti 1
Hapo kwisha habari yake