Natafuta Mume wa kunioa

Natafuta Mume wa kunioa

Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Njoo pm mama tuyajenge
 
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Punguza masharti ya elimu na rangi, Kwasababu, elimu haina matumizi yoyote katika tendo la ndoa na rangi ni matokeo yanayojengwa na mazoea ya dhana fulani.
By the way, sayansi inasisitiza miaka mizuri kwa mwanamke kuzaa ni miaka 20 hadi 35 nje ya hapo unaweza ukazaa tahira ya akili. Kwahiyo, punguza masharti ili kuwa na big number of trials.
Swali langu ni kuwa kama wakijitokeza 10 waliokidhi vigezo na wewe wote hao ungependa uwe nao, Je, utatumia mbinu gani ya kumchagua mmoja tu?(Nahisi kunaweza kufanyika mapenzi kwa kila mtu ili kujua nani anakidhi mahitaji tarajiwa. Je, wewe unasemaje?).
 
Mtaani huku tunaangalia kama una Chura mengine baadae
 
Hivi mfano ukija kutaka kunioa nikakataa nikakuletea mwanamke mwingine umuoe utakubali? Tuongee uhalisia
Kwa nini nikatae?

Yaani uniletee toto linaburuza mkia jeupe limepanda mamiguu manene halafu nikatae dah nimerogwa? 😳😳😳
 
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Wakubwa tumeshajua kigezo namba moja umekiweka mwisho kabisa....

Gold digger...

Nakuombea heri na mafanikio
 
Kwako mleta mada
Unafanya kazi/biashara gani?
Kipato chako kwa mwezi ni sh ngapi?
Una vivutio vya utalii?(tako nk.)
Ulishatoa mimba ngapi?
Bikra ya nyuma bado ipo?
Una kitambulisho cha nida?
Una barua ya utambulisho ya Serikali za mitaa?
Huna kapicha kokote ka kusindikiza uzi wako?
Ukinijibu hayo ntarudi awamu ya pili ya interview
 
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Ukiwa tayari kuwa mke wa pili tafadhali nicheki pm
 
Si kweli, kila mtu anahaki ya kuchagua mtu ampendae awe wa namna gani so sidhan kama ilikua na haja ya kumfokea hivo,

Kuwa sijui anamiaka mingi au midogo haimaniishi sasa ndo awe na machuguo yasio sahihi

Do not belittle her she deserve every good thing down earth 🙏🏽
Bora umesema.

Hawa malaika wa humu wanajifanya ujuaji mwingi..😏
 
Sasa Mtu unaweza kuwa na pesa ukaoa Mwanamke was miaka 28
We tafuta mtu wa size yako unapoteza focus
 
Hivi JF Kuna waoaji kweli? Sijawahi ona shuhuda humu mtu kupata mwenza wa maisha zaida ya breakup, all the best Binti 1
 
Kupata sio tatizo, tatizo ni kumtunza. Ukishampata hana tena thamani.
 
Back
Top Bottom