Natafuta Mume wa kunioa

Natafuta Mume wa kunioa

mechi ikishafika dakika ya 87 kuendelea timu haijapata goli au matokeo ya ushindi kinachosalia ni kulinda goli na kuomba suluhu mpira uishe.mechi ikienda dakika 120 hapo kila timu inaona penati hizi hapa liwalo na liwe,penati haina ufundi.ni kupokea matokeo tu
 
Aliposema degree nimesepa mazima nilipoona kkkt nitafurahi kweli degree ndio imenikimbiza
 
Hutapata mume hapa, utaishia kumegwa na kuachwa.
Ukiona anajitangaza ujue ameshamegwa Sana. Si ajabu Hawa ndio wale walijirekodi wakifanywa wakiwa chuo Sasa hivi kila aliyesoma naye akimuona anahisi harufu ya haja kubwa.
 
Yaani nimemaanisha kesho asubuhi saa mbili nikitoka hapa home haifiki saa 6 mume nishampata na ndoa tayari
Kama tako lipo, huna maringo, huna dharau, unajiheshimu saa sita mbali.
Usitegemee kupata mchumba Kama unavaa kihuni.
 
Kama tako lipo, huna maringo, huna dharau, unajiheshimu saa sita mbali.
Usitegemee kupata mchumba Kama unavaa kihuni.
Watu wanavaa kihuni miaka na miaka na wanaolewa. Si kila mwanaume anataka wanaume wenye adabu...kila mtu ana choice yake.
 
Back
Top Bottom