makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kama hilo lipo basi naoa tuTunda ndio ndoa yenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hilo lipo basi naoa tuTunda ndio ndoa yenyewe
UnikumbusheKesho sio mbali
Loh jamani. Unasahauje ahadi uliyoitoa kwa mkeo mtarajiwa? Na lesho ni ijumaa siku muafaka wa kufunga ndoaUnikumbushe
Mpaka kuna muda nahisi hizi ni chai. Au sisi kuna kitu hatuelewi?Hii kitu sijawahi elewa. Yaani mimi na uzee huu nikitaka kuolewa kesho mume nampata kesho hiyo hiyo
Ukiona anajitangaza ujue ameshamegwa Sana. Si ajabu Hawa ndio wale walijirekodi wakifanywa wakiwa chuo Sasa hivi kila aliyesoma naye akimuona anahisi harufu ya haja kubwa.Hutapata mume hapa, utaishia kumegwa na kuachwa.
Kweli sijui ni nini? Ila kukosa wa kukuoa sijui uwe na matatizo gani ya wazi wazi. Wanaume waoaji wapo wamejaa tele.Mpaka kuna muda nahisi hizi ni chai. Au sisi kuna kitu hatuelewi?
Mwenzangu wee, uzee tena nasahau mzee mwenzanguLoh jamani. Unasahauje ahadi uliyoitoa kwa mkeo mtarajiwa? Na lesho ni ijumaa siku muafaka wa kufunga ndoa
Demi Mhhhhhh?Mnakosaje waume jamani? Mbona simple?
Anyway..kila la kheri binti.
Wanaanzaga hivyo. Sio vibaya mtu kuonesha chaguo lake lakini.We endelea kuchagua tu wakati umri umekutupa mkono, kuna siku utakuja kumtaka yeyote
Akina Patrick hao.Weupe wamefanyaje jamani mbona huwataki?
Kama tako lipo, huna maringo, huna dharau, unajiheshimu saa sita mbali.Yaani nimemaanisha kesho asubuhi saa mbili nikitoka hapa home haifiki saa 6 mume nishampata na ndoa tayari
Wapatie MBINU ...Ni kweli
Watu wanavaa kihuni miaka na miaka na wanaolewa. Si kila mwanaume anataka wanaume wenye adabu...kila mtu ana choice yake.Kama tako lipo, huna maringo, huna dharau, unajiheshimu saa sita mbali.
Usitegemee kupata mchumba Kama unavaa kihuni.