Natafuta Mume wa kunioa

Natafuta Mume wa kunioa

Wewe uwezo wako ni mdogo sana kujibizana na mimi Waislam wote jikusanyeni muweke mdahalo na mimi mimi si mjinga kama ufikiriavyo dini yenu naifahamu A to Z kwa kukufahamisha tu Uislam ni Chama cha Siasa za Kiduniya... hivyo hoja yako ya mimi kudhihaki Dini weka pembeni...

Hapo nilikuwa namfunulia kahtaan kuwa Anaonesha Sura halisi ya Uislam na Waislam si Dhihaka kijana... Mtumwa wa Allah Sanamu Mungu Mwezi ambaye alikili kuwa yeye si Mungu...! Una Lingine? Ban hupati kama hutukani kwanini uwe na jazba wakati hoja hujibiwa kwa Hoja... na ushahidi ukitaka utapata nikufunulie ukweli kuwa unachoabudu ni Sanamu... upo Gizani kukuondoa huko gizani ni bure tu ila utahitaji kutumia muda wako tu....Uwe Huru...

Kwani ukiwa Muislam na unatabia Kama za Mtume wenu na ukiambiwa ulivyo ndio ukasirike? eenh Mona niliyemuambia katulia wewe unaonaje... Waislam ndio mlivyo huwezi ficha... ni kama pembe la ng'ombe halifichiki

karbu kule jukwaa la dini wewe ni saizi yangu sina haja ya kujenga hoja hapa kwakua sijukwaa husika na sipendi kuvuruga ustarabu jf imekamilika kila idara inasehrmu yake.hapa tuwaachie uhuru wanaotafuta wenza kama wewe umeona mleta mada huna msaada wa alichoomba pita kushoto masiala ya dini njoo kule nikuonyeshe kati yangu mimi na wewe nani yuko gizani.kiroho safi karibu
 
Huwajui Vizuri Waislam na Waarabu lao Moja hata uwapende vipi wao kamwe hawawezi ndio itikadi yao.. Nenda au Uliza Saudia Arabia kitu Dini tofauti ni Adui yao Mkuu Saudia Arabi ukiingia na kitu Msalaba au Biblia zinacomwa pale pale Airport ukitizama uwe raia wa nchi yeyote hata Marekani anafahamu hilo... na hakuna ruska ya kusali hata ndani ya chumba chako cha hotel.. hao ni watu wafikiri? na usidhanie nimewatusi pole sana hizo ni ahadi zao walizoahidiwa na Mtume wao Mwamedi na vitabu vyao vimeandika hivyo si matusi na kila muislam anafahamu hilo ndio maana hawawezi sema au kukataa maandiko ya vitabu vyao... wamefumbwa macho wapo gizani ila ndio hawana la kukataa... Pia elewa hawapendi mtu asiye Muislam... Milele

hizo ni chuki zako lakini huna ushahidi wa hayo.
 
Jina lako ni Salma Meza au hilo ulilolitaja au mm naona makengeza ya kusoma
 
karbu kule jukwaa la dini wewe ni saizi yangu sina haja ya kujenga hoja hapa kwakua sijukwaa husika na sipendi kuvuruga ustarabu jf imekamilika kila idara inasehrmu yake.hapa tuwaachie uhuru wanaotafuta wenza kama wewe umeona mleta mada huna msaada wa alichoomba pita kushoto masiala ya dini njoo kule nikuonyeshe kati yangu mimi na wewe nani yuko gizani.kiroho safi karibu

!
 
Naitwa Saida Issa ni mkazi wa dar es salaam nina umri wa miaka32 nahitaji mume wa kunioa awe muislam kwa yeyote atakayekua tayari awasiliane na mimi kwa nambari 0653708874

dah,naona chances kama hizi zimenipita........
 
Wewe ni pm tu maana unachotaka si kuolewa?
 
Status ya kule angaza vipi kabla hatujaanza kutuma maombi
Naitwa Saida Issa ni mkazi wa dar es salaam nina umri wa miaka32 nahitaji mume wa kunioa awe muislam kwa yeyote atakayekua tayari awasiliane na mimi kwa nambari 0653708874
 
1) 25 May 2005, Saudi Arabia Desecrates Hundreds of Bibles Annually
Washington DC - The Saudi government burns and desecrates hundreds of bibles its security forces confiscate after raids on Christian expatriates worshiping privately or at border crossings.
As a matter of official policy, the government either incinerates or dumps bibles, crosses and other Christian paraphernalia.
Hundreds of Christian worshipers are arrested every year by Saudi police in raids on their private gatherings. Bibles, crosses and printed materials are confiscated and later burnt or dumped into trash. Bibles and other Christian paraphernalia found with travelers into the country are confiscated and destroyed...

Ndugu haya mambo yapo wazi hata kwenye Mawaidha baada ya Sala huwa yanasemwa sana na masheik... wataka ushahidi kwa kila jambo ndipo Usadiki? umekuwa Myahudi wewe?

Naomba uniulize chochote nikupe ushahidi na sio kusema naongopa na sina ushahidi wanaofahamu wamenyamaza wanaelewa yote Mabaya na Mazuri ya Waislam... ila Chuki za Waislam zipo wazi kabisa...
Bandugu kuna sheria na kanuni za kila nchi, Yaani hivi sasa umarekani wanazui kuvaa T-shirt tuu iloandikwa BenLaden au picha miripuko au uhuru wa mavazi, simbu kuonesha ishara za kidini!! unacho tuandikia ni Baseless!! Saudi Arabia inamsimamo wake ina mwongozo wake haito weza kuvunja kifungu cha katiba zake... KM:- Haijawahi kuteremsha bendera yake hata siku moja!! Sasa hayo maDola makubwa {America UK Faransa china Russia na mbwa zao zengine } mbona wana kaa kimya na kuufyata mkia ?!! hatujasikia hata onyo wala kashfa.!! Nikupe takwimu ya mukhtasari tu... Kuna Christians zaidi ya milioni 3 kati ya wageni wanaoishi huko SaudiArabia (kati ya wageni milioni 8 kwa ujumla). hao wandugu Kwanini wasidai haki zao za kuabudu na kudai kujenga Kanisa na kwa kupitia mgongo wa US UK FRC nk???? wakati UN {umoja wa mataifa walo madarakani ni majority Christians/kiristoz !! } Tafadhali usipotoshe umma kwa kuwa wewe umeudhika na watu waimani iingine au kutokana na karaha zako binafsi, Yaani your countrymen wapo huko SaudiaArabia wanawajibika migodini,Mashmbani,MaBenki,Maofisini,Mahospitali, nk. hao mbona wanatuma petroDollarz nyumbani...Hayo wewe huyasemi....kinachokuuma ni The Great Bible!! ha ha ha ha... bado mnamsafara mrefu kuongoka.
 
Back
Top Bottom