mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 619
Wewe uwezo wako ni mdogo sana kujibizana na mimi Waislam wote jikusanyeni muweke mdahalo na mimi mimi si mjinga kama ufikiriavyo dini yenu naifahamu A to Z kwa kukufahamisha tu Uislam ni Chama cha Siasa za Kiduniya... hivyo hoja yako ya mimi kudhihaki Dini weka pembeni...
Hapo nilikuwa namfunulia kahtaan kuwa Anaonesha Sura halisi ya Uislam na Waislam si Dhihaka kijana... Mtumwa wa Allah Sanamu Mungu Mwezi ambaye alikili kuwa yeye si Mungu...! Una Lingine? Ban hupati kama hutukani kwanini uwe na jazba wakati hoja hujibiwa kwa Hoja... na ushahidi ukitaka utapata nikufunulie ukweli kuwa unachoabudu ni Sanamu... upo Gizani kukuondoa huko gizani ni bure tu ila utahitaji kutumia muda wako tu....Uwe Huru...
Kwani ukiwa Muislam na unatabia Kama za Mtume wenu na ukiambiwa ulivyo ndio ukasirike? eenh Mona niliyemuambia katulia wewe unaonaje... Waislam ndio mlivyo huwezi ficha... ni kama pembe la ng'ombe halifichiki
karbu kule jukwaa la dini wewe ni saizi yangu sina haja ya kujenga hoja hapa kwakua sijukwaa husika na sipendi kuvuruga ustarabu jf imekamilika kila idara inasehrmu yake.hapa tuwaachie uhuru wanaotafuta wenza kama wewe umeona mleta mada huna msaada wa alichoomba pita kushoto masiala ya dini njoo kule nikuonyeshe kati yangu mimi na wewe nani yuko gizani.kiroho safi karibu