Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Anatafuta mume suruali, anataka mwanaume asiye na uwezo wa kuzalishaMiaka 43 asiwe na mtoto? Au nmeelewa vibaya. Nadhani mzabzab atakufaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatafuta mume suruali, anataka mwanaume asiye na uwezo wa kuzalishaMiaka 43 asiwe na mtoto? Au nmeelewa vibaya. Nadhani mzabzab atakufaa.
Hata 40 anastahili kuandika ivoAsipokuwa na mambo mengi atakuzidi vipi kipato? Kwa jinsi ulivyoandika tangazo lako ilipaswa uwe na miaka 17.
Uende wapi?Njoo pm faster.. nina sifa zote hizo
Ok kama ni hivyo ataendelea kuandika mpaka uzee wakeHata 40 anastahili kuandika ivo
😅😅😅 chumbani nakusubiriUende wapi?
Sawa,we kuwa jeuri...katosha yule huyu siruhusu kabisa 🤣🤣🤣😅😅😅 chumbani nakusubiri
🤣🤣🤣🤗🙌Ok kama ni hivyo ataendelea kuandika mpaka uzee wake
Sayansi sio MunguSikudanganyi. Sayansi ndivyo inavyosema.
Wewe ndie unadanganya sababu haiwezekani mwanamke wa miaka 45 akapata watoto watatu akiwa above 45.
Nakuwekea evidence kuonesha nachosema sijakitunga mimi bali ni sayansi.
Wanaume kukwepa risk kama hizo ndio maana wanaoa wanawake wenye umri mdogo. Chini ya miaka 30
Kabakiza miezi tu pengine sikuBado ana mwaka mmoja tunza hili swali ndugu mjumbe tutakuja kumuuliza mwakani.
Nilikuwa nataka nianze kunena kwa lugha, nikaambiwa mpaka niokoke ndio itawezekana 🤦🤦🤦🤦Kwann nawe? Unaokokaje? Kusali tu kunatosha bhana
Una kamoyo kazuri kweli we jamaa,afu mpole kweli..... Yaan usinglemom huu unanipotezea vijana wazuri kweliMkipatana ulete mrejesho u deserve the best nitachangia mfanikishe jambo lenu
😅😅😅 kweli eeh.. yule hata tukiumwa anatutibuSawa,we kuwa jeuri...katosha yule huyu siruhusu kabisa 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Huishiwi Vituko🙌Nilikuwa nataka nianze kunena kwa lugha, nikaambiwa mpaka niokoke ndio itawezekana 🤦🤦🤦🤦
Kabisa kabisa 😠😅😅😅 kweli eeh
Ndani utauona motoAsilimia kubwa ya watu ambao wakitongoza wanaoa ni walokole.
Nashukuru mama 😊🥰 haka kamoyo ni kwa ajili yako pia, wala usingo mama haukupotezei kitu. Love is a drug that I can't quit❤Una kamoyo kazuri kweli we jamaa,afu mpole kweli..... Yaan usinglemom huu unanipotezea vijana wazuri kweli
Bora wewe upo tayari kunioa wengine wanasema kunioa mie single mom Bora safe😥 inasikitisha eti?Nashukuru mama 😊🥰 haka kamoyo ni kwa ajili yako pia, wala usingo mama haukupotezei kitu. Love is a drug that I can't quit❤
Tumetofautiana ila hatujui kesho itatulrtea nini, ntaoa yeyote nikiwa na utayari wa kufanya hivyo. Mbona single moms wanaolewa wengi tuBora wewe upo tayari kunioa wengine wanasema kunioa mie single mom Bora safe😥 inasikitisha eti?