Natafuta mume

Natafuta mume

Wakuu pitieni hii post mtagundua huyu ni mbabaishaji![emoji116]
Natafta mchumba awe mume wa baadae
Hii picha yake alipost alipo anza kutumia hiyo Id

8256a8d6432d503e3d859240a6f43d49.jpg
 
Mimi ni binti wamiaka 24, elimu yangu ni diploma ya nursing nimejitokeza kwenu wanajamii, nilikuwa natafuta mume alieko siriaz na ndoa nasio kuumizana, sichagui dini lakini awe anajishughulisha na shughuli yoyte yabkumuingzia kipato pia anizidi umri kuanzia miaka 25 kuendelea.

Alieko tiyari naomba uje pm tuzungumze.

Note; Utani siitaji kwasababu nipo siriaz zaidi mnavyofikiria sababu niko siriaz sana.
Jichanganye kwenye mikusanyiko ya watu lakini yenye nidhamu kama harusini,kanisani,vikao vya mtaa,jumuia.utapata mume huko,huku ulikokuja utajuta shauli yako
 
Mimi ni binti wamiaka 24, elimu yangu ni diploma ya nursing nimejitokeza kwenu wanajamii, nilikuwa natafuta mume alieko siriaz na ndoa nasio kuumizana, sichagui dini lakini awe anajishughulisha na shughuli yoyte yabkumuingzia kipato pia anizidi umri kuanzia miaka 25 kuendelea.

Alieko tiyari naomba uje pm tuzungumze.

Note; Utani siitaji kwasababu nipo siriaz zaidi mnavyofikiria sababu niko siriaz sana.
Nipo tumia namba hii 0655182731
 
[HASHTAG]#masanjuo[/HASHTAG] utakuwa unajiuza wewe sio bure!!!!!! Kumbuka post yako iliyopita ulichokiandika......na kma kweli wewe ni msichana bhas nadhan kuolewa kwako ni ndoto na kama utaolewa bhas huyo mme wako itabidi apewe tuzo ya kuwa mme bora wa mwaka....
 
Back
Top Bottom