[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Sidhani kama upo kamili au una sifa stahiki,maana ungekuwa na sifa hapa usingefika maana upo unapokaa na kupita ungekua umeshapata,na nani anataka kutongozwa na mwanamke?subiri utafutwe kama unatafuta basi una kasoro za wazi.
Punguza vgezo vya udini watu tuchukue jikoMimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
Kwenye mshahara hakuna tatzo ila punguza udini tuanze maishaMimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
Kwa majibu haya huyo mwanaume atayekua nampa pole zake in advancendo mana nimekuambia kama haikuhusu pita kimya naijua value yangu na si kwamba sina mtu ninaye na mwenye nia ya kunioa shida tuna value tofauti
Wewe ungesema unafanya shughuri gani, siyo kutaka mteremko tu! , utasanda mjini hapa!Mimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
Daby brother wangu huyu ana vigezo vyote na kazidi ila hapo kwenye kupima HIV ndio utakapomkosa hapo. atakupiga na ngumi juuMimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
Achana nao hawa hawajui haja ya moyo wako love, com to me and like a lady I will treat u twende pm plzasante baby love kwa kujitokeza maana naona lawama zimezidi hapa
Tukuone kwanza ulivyo, kapicha tafadhali. Huko uliko wanaume wa sifa hizo hawapo?.Mimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
wanaume kazi mnayo .
kazi anayo yeye, matatizo yake sisi inatuhusu nini?wanaume kazi mnayo .
Mume bora ndo unamtata um???,,,unaish msituni au....hakuna watu unaish nao ili uchague mwnye vigezo vyako???.yan ww utakua niwale wanawake rejected either kwa muonekano mbovu au unajickia alaf hauna ata chamaana....we rud mtaani kwenu katongoz usituletee nyodo umueti nipo above 30 ningekuwa above ningekuja na vigezo vyote hivyo ukiona hivyo it means I am still young that's why sihitaji bora mume ila mume bora
Mujarabu kbs hiiWahitaji mume! Ni sawa ila wewe sio MKE unaehitajika.... dada endelea kuwa single jitahidi kuwa na kipato kizuri labda hapo utawapata masharobaro wavivu.... wakuzalishe.