Natafuta mume

Kuna Mkataba ulioandaliwa na mwanasheria??
 
I doubt hiyo elimu yako ya degree unayozungumzia. Wewe utakuwa unasoma QT sasa hivi. Hata mtu aliyesoma f5-6 amekuzidi mno.
Halafu unaonekana una Pang'anga mob (in kenya's voice) yani ni tarumbeta la kutosha. Dada angu mwanamke ana asili ya upole na unyenyekevu hasa kwa mumewe ila kwa hi pang'ang'a yako hutapata hata house boy/girl wa kukufanyia kazi tu za nyumbani umlipe aridhike atulie. Mwanamke una mdomo utafikiri Nini? Ptuuuuu
 
Unahitaji Mume wa Mtu wa Aina gani ?

Unahitaji Mume awe na wake wangapi Mmoja, wawili, au.watatu.
 
Masters degree zina uhusiano gani na ndoa?
 
Hujamuelewa engeneers na doctors wana mishahara minono bwana
 
Ukimpata urudishe majibu hapa...Usisahau pia kuwa good men who are interested to marry a woman of your callibre are very scarce...jaribu pia kutoa tangazo hili kwenye colleges za engineering na vyuo vya MDs pia.
Na ni nadra kukuta engeneers kwa uzuri autakao
 
Mbona walimu wa chuo ni kuanzia Tsh1,600,000 hadi Tsh6,000,000 kulingana na elimu ya mhusika.
Hao madaktari na mainjinia wanapokea kiasi gani?
Hujamuelewa engeneers na doctors wana mishahara minono bwana
 

Uko sealed?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…