Natafuta mume

Natafuta mume

Unatutafuta madaktari tulioajiriwa jana tu,wakati hata barua hatujapewa
 
Mimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
Ndio maana hujapata mtu mpaka mda huu
 
Hatari sana.
Mimi ni Mwalimu ngoja nikomae na Wanafunzi.
Pia Walimu tunaoana wenyewe kwa wenyewe.

Ngoja waje madaktari feki wakupige miti na kukuacha mataa.

Mwisho vipi kuhusu hawa Madaktari wa hapa UDSM,au unataka wale wanaoshika damu ya wagonjwa tu.
 
Sifa zote ninazo Tatizo mm Mwalimu...


Au sisi wa Nursery utatufikiria kidogo....
 
Vigezo vingi kama masharti ya kujiunga na freemason nani anavitaka?.Wanaume hatupangiwi vigezo, tunajipangia wenyewe.
 
Duh[emoji2][emoji2][emoji2] kama kuingia peponi vile uyo mtu umuumbe shost tz huwezi pata ushauri tu
 
Hahahaaa
Wewe unatafuta business partner si mume
Subiri wakunyooshe kwanza ukianza kuzeeka utapunguza vigezo tu.[emoji23] [emoji23]

Bila shaka utakua mgeni Jf
Hapa wanakuja wenzako wanatafuta mwanaume wa aina yoyote baada ya mambo kukwama, sasa your time will come my sister
Kigezo chako kikubwa una degree [emoji23] [emoji23]
Umesema una degree eeeh
Wenzio wana degree wanauza machungwa sasa [emoji23] [emoji23]
 
WEWE NI BIKRA?
maana hiyo ndo sifa inayoendana na hayo masharti uliyoweka. wengi wenu mnajiita wasichana kumbe ni wamama wasiozaa (bado tu kuzaa)
jibu ili tukuunganishe na wenye sifa
1. wewe ni msichana? msichana ni mwanamke bikra)
2. unafaa kuwa mke wa mtu mwenye vigezo ulivyotaja? (mwanaume huyo anastahili kupata mke wake pekee na sio aliyekuwa mke wa wengine, yaani waliotangulia kukuvua ch..pi
 
upweke unadhalilisha sana.
msi m-attack sana.
Upweke unatosha.
 
Mimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
ww mwenyew engeneer?,mweupe?,mrefu?, una degree moja unatka mastars umesahau kma ndege wafananao huruka pamoja?
 
Mwanamke wewe ulitakiwa usikilize ile clipa ya k ni tamu na m ni tamu..
 
ndo mana nimekuambia kama haikuhusu pita kimya naijua value yangu na si kwamba sina mtu ninaye na mwenye nia ya kunioa shida tuna value tofauti
Human value is the same thats why they stink if they dont take bath, this is it !!!
no matter where they live, eat or education they have.
Do you mean a dead man with masters is better than an illiterate living begger?

You can luckly have such a man but your union may simply last for a week, whats so beneficial.

see how luck your brothers would be if all women could take your wish

Think about it
 
Mtoa post ni mji.nga na kamwe hutapata mume kwa staili hiyo. Sio hapa jukwaani tu hata uhamie kanisani ukaimba kwaya miaka mzima. Na nina wasiwasi hujui hata maana ya ndoa yenyewe.
Hivi unadhani ni mwanaume gani ataoa mwanamke ambaye anatangaza hadharani kuwa anataka kuolewa na mwanaume mwenye kipato Cha kuanzia milioni. Ili iweje? Ili uje kuifanyia Nini? Je utaweza kuitunza n kuizalisha zaidi au utakuja kuitumia Kama mwehu? Na ikiwa sitakuwa na uwezo wake kuzalisha hiyo milioni kila mwezi itakuwaje?
Hivi shule mlienda kukua au kufuta ujinga?
Mkuu sijawahi kuona mwanamke msomi na mjinga kama huyu.Mitaani umekosa na huku mitandaoni pia pamebuma.kisa?I can for sure tell you are arrogant!
 
naonwa tena sana ila shida wanaoniona wote nahisi tuko value tofauti cause nishakuambia sitaki degree holder so hao siwahitaji na ndo wengi wanifatao
Kuna siku utawatafuta hata hao wenye degree hawatapatikana tena
 
Kwa uzoefu wangu Wa maisha karibu miaka 30 sasa mwanamke anaenitongoza huwa naishia kutafuna tu, (hana value kwangu)
Mke mtafute bwana. Ninae wife to be nlipigwa kalenda, nlimtaabikia mwaka mzima. Kwa sasa Nafanya lolote kwa ajili yake.
 
Back
Top Bottom