Natafuta mume

Natafuta mume

Mrejesho :
Nashukuru kwa mlionidhihaki na maneno na matusi yenu but mi sio aina hiyo ya wasichana mnaodhani niliweka vigezo vile kupima ni aina gani ya wanaume waliopo Tanzania but nimegundua wengi wenu kujiamini ni ziro ila wanachojua ni matusi but naishukuru Jf kwa kunipatia mpenzi ambaye ni mwalimu wa Secondary kwa shule flani hapa dar ingawa PM walikuja wengi kwa kujifanya wana pesa but sikuhitaji vyote hivyo ila nilihitaji mwanaume ambaye anajiamini as a man
AHSANTENI SANA WANA JF


Mimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
Kumbe ni mpenzi siyo mume! Binadamu siku hizi mmekuwa wabaguzi sana. Yaani unatoa kashfa kwa binadamu wenzio utadhani wewe siku ukifa utaliwa nyama! Halafu huyo ni msomi wa level ya degree! Kuna haja ya hizi degree kufanyiwa uchunguzi upya. Zingine zimebaki kwenye karatasi hazikuhamia kichwani.
 
sifa zako wewe ni zipi kwanza..??..maana unataka sifa wakati na wewe sifa za kwako yawezekana sio pendwa kwa mwenye sifa uzipendazo..!!!..
 
Kweli wewe ni chizi! Hujazingatia vigezo ulivyovitaka maana ukisema hautaki mwalimu na ukiempata ni mwalimu.yaani kama ni mm ningekuwa mwalimu nijgekugegeda afu nakutupilia mbali.
 
Unaopishananao kila siku, ulikosoma, unakoishi na unakofanyia kazi yaani wanakuona laivu wamekushindwa, tutakuwezaje sisi tusiojua hata jinsia yako?
Pole sana kwako
Ila ungewekamo kapicha kangekusaidia lkn usiende kopa picha kwa jirani.
 
huyo mwl. wa sekondari ana masters ya nini? Je ni head master? na kipato chake kimefikia 1 mil? tunaomba mrejesho
 
Kweli wewe ni chizi! Hujazingatia vigezo ulivyovitaka maana ukisema hautaki mwalimu na ukiempata ni mwalimu.yaani kama ni mm ningekuwa mwalimu nijgekugegeda afu nakutupilia mbali.
hahaha mkuu umenichekesha kishenzi, unajua Mungu hakupi unachotaka anakupa stahiki yako, nafikiri huyu dada size yake ni mwl. level ya engineer sijui dr. tupa kule
 
Mrejesho :
Nashukuru kwa mlionidhihaki na maneno na matusi yenu but mi sio aina hiyo ya wasichana mnaodhani niliweka vigezo vile kupima ni aina gani ya wanaume waliopo Tanzania but nimegundua wengi wenu kujiamini ni ziro ila wanachojua ni matusi but naishukuru Jf kwa kunipatia mpenzi ambaye ni mwalimu wa Secondary kwa shule flani hapa dar ingawa PM walikuja wengi kwa kujifanya wana pesa but sikuhitaji vyote hivyo ila nilihitaji mwanaume ambaye anajiamini as a man
AHSANTENI SANA WANA JF


Mimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
Ulisema hutaki mwalimu wa aina yoyote

SASA HIVI UNATWAMBIA UMEMPATA MWALIMU.

ARE YOU CRAZY?????
 
Back
Top Bottom