Naona Haujamzarau LeoDaaahhh umeandika kwa hisia sana na unyenyekevu wa hali ya juu !!.
Ukapate hitaji lako .
Hapana mkuu ,she is really in need !!.. Maandishi yake sio km ya Kihuba[emoji23] [emoji23] [emoji23]Naona Haujamzarau Leo
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] kwhy angekuwa kihuba ungeshamzarau tiali.Hapana mkuu ,she is really in need !!.. Maandishi yake sio km ya Kihuba[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nmeshamwambia kua serious ,ajue anachokitafuta.[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] kwhy angekuwa kihuba ungeshamzarau tiali.
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,
Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Ney!!Kila la kheri mamii, Mungu akupe hitaji la moyo wako mpendwa.
Mimi nipo tayari kuwa Mme umri wangu ni 31+,kwakifupi nina Bachelor ya civil engineering.Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,
Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Mambo vipi best?Ney!!
Hahahaaaa unawaza wapi jamani?tamka tuuuMambo vipi best?
Ujue nashindwaga kabisa kutamka jina lako najihis kama vile nataka kupanda mlima mawenzi [emoji26][emoji26].
Kutamka jina lako hadharani ni kunishushia heshima yangu dear,Hahahaaaa unawaza wapi jamani?tamka tuuu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Heri ya wote mama.Kutamka jina lako hadharani ni kunishushia heshima yangu dear,
Heri ya mwaka mpya mpendwa
Hatari sana aiseeh, namshukuru Mungu kwakweli sijawahi kukosea.[emoji3] [emoji3] [emoji3] Heri ya wote mama.
Kwani huwa unahisi ni tamuuuuu sn hiyo tamuuuuu?