kiumbe kipya
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 2,831
- 1,304
Ni kipm Nalea hujib why?Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,
Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Tuwasiliane...mrefu
Wakidondosha smartphone haivunjiki!Vp wafupi kwanin huwapendi??
Elvee unae au na ww singo mama?Kila jema mama
Say something , naona umevuta pumzi halafu ukatoa wishes tuKila jema mama
Bahati yangu Hii!!! Ngoja nije tuyajengeJamani kama kichwa habari kinavyojieleza,
Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
SingleElvee unae au na ww singo mama?
Hata sina zaidi ya heriSay something , naona umevuta pumzi halafu ukatoa wishes tu
Dada jaribu kuhudhuria ndoa uone wanaoa siku hizi wanavigezo gani kwanza? Sikujui lakini nikwambie kuna washichana uliowazidi miaka zaidi ya kumi kwa huo tu ulioutaja hapo. Wanaolewa na wakaka wafupi tuu au medium size. Hao warefu angalia utawasuburi sana. Lakini kama ni lengo lako la maisha subiri litimie.Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,
Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Nakuchokoza nisikie hekima zakoHata sina zaidi ya heri
Wakidondosha smartphone haivunjiki!