Natafuta mume

Natafuta mume

Nina miaka 26 ,elimu ya kati IPO,pesa,IPO Nina wake wawili,mashine ya kusaga na kukoboa IPO very strong, njoo uwe b mdogo bao moja,one and 30minutes ,chapa wote kwa siku moja ,sitaki lawama ni pm ,if you Sirius
 
dah!! hapa naona ananizidi kama 5years sasa nikienda si nitakuwa ben10 kwake!!!!
 
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,

Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Elimu ya kati ikoje dada yangu?
 
Cheki wanaume wajua kutongoza wanavyo penda gandaa la ndizii... Mtafiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nywaa

Huyo dada au man mbona jina hamna alafu naonekana n nyegee...tu izo ekaa namba ya ukwel wenye shider wakapige mzigoo huo

Tafuta kazin kwako... Maana wengine sisi tunawagongaga tu wa dada kama nyie tukiwashtukia
 
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,

Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Je, wewe una bikra? Kama huna aliyeitoa kwanini hukuoana naye? Kwanini amekuacha? Wanaume wenye akili timamu wenye umri 30+ wameshaoa au wana mahusiano ya kimapenzi na wanawake wengine, ongea na kubalianani na uliyenae muoane kama yupo. Ningependa kufahamu habari za Group la damu yako, kifafa, kisukari, pressure, saratani, na magonjwa mengine ya kurithi yaliyoko kwenye ukoo wenu. Magonjwa haya ya kurithi yanaambukizwa kwa njia ya kuoana na mwenza mwenye au anayetoka kwenye familia yenye magonjwa hayo.
 
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,

Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.

Kama bado haujampata njoo Dm tuyajenge
 
Back
Top Bottom