Natafuta mume

Natafuta mume

Sometimes watu wanajiona smart wakati ni kinyume chake. Mfano hao wanaoona e mail I mtego, sasa nitoke hapa nimtumie e mail atajuaje kuwa e mail hii inatoka kwa RRONDO? Sana sana ataona .....@gmal.com hawezi kujua nilietuma e mail ni mimi.
 
Sometimes watu wanajiona smart wakati ni kinyume chake. Mfano hao wanaoona e mail I mtego, sasa nitoke hapa nimtumie e mail atajuaje kuwa e mail hii inatoka kwa RRONDO? Sana sana ataona .....@gmal.com hawezi kujua nilietuma e mail ni mimi.
 
haijambo kwa huyu sijaona kigezo pendwa cha "Awe mrefu mweusi" wengine wanaongezeaga (gentleman)...ndo maana huyu dada kapata positive responses sana...anaonekana sio mbaguzi sana na ana nia ya dhati...ningekufata kwenye email yko ila bahati mbaya tutashindwana kwenye dini tu
 
Sometimes watu wanajiona smart wakati ni kinyume chake. Mfano hao wanaoona e mail I mtego, sasa nitoke hapa nimtumie e mail atajuaje kuwa e mail hii inatoka kwa RRONDO? Sana sana ataona .....@gmal.com hawezi kujua nilietuma e mail ni mimi.
Vipi bro email umeshajibiwa huko au bado muda wa mchujo [emoji2]
 
Je mimi wa 40 naruhusiwa maana miaka naona ni namba tu hizo usiogope miaka uliyoitaja watakutesa wana mabebis hatare watapasua moyo wako.
 
Back
Top Bottom