Natafuta mume

Najaribu kukuchallenge. Maana katika hoja wanasema usitumie lugha kama ulivyotumia. Bse we may differ. That's why kwamtu mwenye fikra usingeniuliza kama nafikiria kwasababu nimekupa hoja zangu.
 
Najaribu kukuchallenge. Maana katika hoja wanasema usitumie lugha kama ulivyotumia. Bse we may differ. That's why kwamtu mwenye fikra usingeniuliza kama nafikiria kwasababu nimekupa hoja zangu.
Mimi nmekujibu sababu sijaona hoja ,hoja nilazima imfikirishe mtu ,Sasa ulichokiandika hakijanifikirisha !!.

Alafu sioni changamoto ulotoa zaidi yakuona unajikanyaga nakuongea kitu kama vile MTU asoelewa !!.

Nmekuuliza ,Kubadili ID kunamfanya na vigezo Vibadilike ??.

If Z ni anapenda Tall ,black.
Akibadili nakua Q ndo atapenda short white ???.

Au ulimaanisha sifa zake yeye mtoa mada ndo zinafanana nawengine ? Nahata kama zinafanana ?.Hitaji lake sini mwanamme ?.
 

All the best.....................
 
Hujatuambia kama wewe unayoshughuli ya kukuingizia kipato
 
Dah luckyline umejisuuza kirahisi hivi na nnavyokupendaga vile.
Wewe endelea kunipenda hivyo hakuna kilivhobadilika. Nilikuwa kamwambia indirect, tho najua hakuelewa, achana nae huyu mpenda vyura
 
Njoo kwangu nitakutunza
Sharti la kwanza lazima uwe umepima HIV kwanza
 
Nakuja,uko wap
 
Kwa mwanaume vigezo kibao kwako mmmmm kazi inayokuingizia kipato unayo
 
Hata muuza karanga huonjesha. Nina sifa zote. Je upo tyar kunionjesha maisha ya ndoa hata kwa siku Tatu tu?
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Ha ha ha ha ha haaaaah [emoji23] [emoji23] JF kweli ni mahala pa burudani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…