Natafuta mume

tupia picha yako hapa nikuchote ila najuwa wajanja wamesha maliza tuwi lote limebaki kapi tu ndo unataka kunishikisha ni zeeke nalo, duuh!!*
 
Kuna watu wanatafutwa naona bado hawapatikana, umri huo atakuwa bado tu.
 
😡😕😎😀
 
Njoo pm nikuone mrembo.
35 yrs sina.
 
ni pm nikupe dili ambalo hutalisahau kwenye maisha yako yote yaliyobaki
 
Unapatikana mkoa gani ?
 
Mara ya Mwisho alikuaga kuwa anakuja Jamii Forums?
Alivaa nguo gani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sasa wewe umeweka sifa kibaao za unayemtaka badala ungesema zaidi kuhusu wewe

Wanaume hawako desperate kama wanawake .

Eti awe na shughuri yaa kuingiza kipato my dear unatafuta mlezi au mume[emoji28][emoji28][emoji28] badili bandiko lako we sema unatafuta mume baasi alie ma uwezo wa kukulea atakuja
 
Hivi huko makanisani hizi fursa za kutafuta waume hazitolewi? aaagh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…