Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😡😕😎😀Hapa ndo weng hesabu zenu mnakosea !!.
Ushajua ID yako ya awali ilijaa maluwe luwe ,basi mnakuja na ID mpya !!.ivi unadhan hata uyo mwanamme atakayekuja ,yeye Hajui ulikua na ID ingine apo wali ?.
Embu njooni ktk Uhalisia wenu bana ,nini mnachoogopa ??
Haya nimatokeo ya ulichokua unakifanya na kukisema humu ,, MTU kama unajijua ulikua unafanya nakusema mzur, haina haja ya kuja na ID mpya !!. Sure hamna muoaji asotaka kujua niwapi umetokea.
Basi hata ungeacha kidogo upost post na kukoment post nzur zenye uvuto ,ili uwavutie, sasa hilo nalo linakushinda !!
Sister am very sory to say this ,," watakuja ma boyfriend lkn sio Mumefriend" ..hapa ndipo utajua Mwanamme nikiumbe mwenye Akili.
Unapatikana mkoa gani ?Habari wana JF natafuta mume wa kuanzia miaka 35+
SIFA
Awe mkiristo
Mwenye hofu na Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Awe na rangi at least(maji ya kunde +
Asiwe bonge
Mwenye shughuri ya kumuingizia kipato
Mrefu
SIFA zangu,
Mweusi
Mwili wastani
Elimu graduate
Urefu wastani.
Karibu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Ipo majini...nmekumiss lkn
Hivi ni kweli mzigua90 zigo lipo?Ndo uongee kikubwaa na Mzigua90
YaaahHivi ni kweli mzigua90 zigo lipo?
Rafiki unamfahamu?Yaaah
Huyo mzigua ana chura?Ndo uongee kikubwaa na Mzigua90