Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,906
- 2,902
Mmmh!! hiyo miaka lazima aende kwa mganga kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmeuliza tuUsiogope majukumu dreka kufanya au kuto kufanya kazi sio kigezo kwani wewe unaenda kuishi na mwana mke na sio kazi yake. Na istoshe acha kuya kimbia majukumu yako ya kutunza mke na familia huo ni wajibu ulio pewa na mungu.
Acha ubinafsi walio na kazi wasio na kazi wote Wana haki sawa ya kumpata mwanza.
Hahahahha refuka budahSisi wafupi imemega kwetu. Kila anayetafuta mume utasikia 'mrefu'![emoji23]
Anacheza mkuu ,ndo Dar yetu hii[emoji23] [emoji23]Asante chief
Simba anacheza leo?
Unapeperusha ndege wetu wewe sasaBinti huku kuna majambazi, be care full na ujiandae kuwa make wa pili, hao unaowatafuta,wana watoto wamezalisha tiyari, wengine wagame, wengine maario tegemezii, watakunyonya hadi damu. Wanapenda kulelewa.
Aisee haya chief[emoji2]Anacheza mkuu ,ndo Dar yetu hii[emoji23] [emoji23]
Hahaha amekarifu hajui kuna warefu lakini wana vinasaba vya ufupi kila sekta hadi dushe[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwakweli [emoji119] itakuwa anadhani kuwa warefu tu ndio wana dushe kubwa, imani potofu
Ndio, ww hujawai kupata?Hivi kweli huku watu huwa wanawapata kweli wachumba?
Poa chief ila mechi km izi ,jitahidi hata Qatar airways utue Kenya hapo then bongo yetu .Simba raha sana.Aisee haya chief[emoji2]
All the best wenye Dar yenu..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] atuache sisi wa wastani tulio na dushe zetu za maana.Hahaha amekarifu hajui kuna warefu lakini wana vinasaba vya ufupi kila sekta hadi dushe
Sie wa urefu wa wastani[emoji23] [emoji23] [emoji23] atuache sisi wa wastani tulio na dushe zetu za maana.
Kabisa mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] atuache sisi wa wastani tulio na dushe zetu za maana.
Usimkatishe tamaa mwenzio. Na kwa nini hutaki kumsamehe aliye kuzalisha hata sasa ili hali umeolewa huko kigamboni? [emoji12] [emoji12]. Msamehe bure dada rose uvumilivu ni ushindi ungevumulia tu. Wana ume wakamilifu hawapo mahali popote duniani ila Wana ume bora wako kila mahali na hata humu jf wamo wengi tuu.Unapeperusha ndege wetu wewe sasa
Kwa mpira huo wa bongo, hapana kwakweli...[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Poa chief ila mechi km izi ,jitahidi hata Qatar airways utue Kenya hapo then bongo yetu .Simba raha sana.
Tecno yako inakusumbua eeUsimkatishe tamaa mwenzio. Na kwa nini hutaki kumsamehe aliye kuzalisha hata sasa ili hali umeolewa huko kigamboni? [emoji12] [emoji12]. Msamehe bure dada rose uvumilivu ni ushindi ungevumulia tu. Wana ume wakamilifu hawapo mahali popote duniani ila Wana ume bora wako kila mahali na hata humu jf wamo wengi tuu.
Ni mtazamo tu dar rose sio chuki please [emoji8] [emoji8]
Ndio mkuu ni tecno y 3 kwani Kuna shida yeyote mm kutumia hii na wewe kutumia hiyo [emoji40] [emoji40]Tecno yako inakusumbua ee
Shida ni hii output ya tecno.Ndio mkuu ni tecno y 3 kwani Kuna shida yeyote mm kutumia hii na wewe kutumia hiyo [emoji40] [emoji40]
Usimkatishe tamaa mwenzio. Na kwa nini hutaki kumsamehe aliye kuzalisha hata sasa ili hali umeolewa huko kigamboni? [emoji12] [emoji12]. Msamehe bure dada rose uvumilivu ni ushindi ungevumulia tu. Wana ume wakamilifu hawapo mahali popote duniani ila Wana ume bora wako kila mahali na hata humu jf wamo wengi tuu.
Ni mtazamo tu dar rose sio chuki please [emoji8] [emoji8]
Una sh ngapi mzee baba? Mana Mzigua ni mtu wa viwanja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Rafiki mimi ni baba wa Taifa wa viwanja![emoji4][emoji4][emoji4]
Basi umempata wahi folen pm tar 14 sio mbali
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Tatizo amefunga pm![emoji44][emoji44][emoji44]