Natafuta mume

Natafuta mume

Nataka nitoe ushauri kidogo hasa kwa watu ambao hupendi ku post kuhusu kutafuta mwenza na kuweka vigezo.Kwanza kabisa amini usiamini if you r lookn for a rght women/man to marry first you should also be the right women/man...how ni maelezo marefu kidogo.Lakin pia vigezo mnavyoweka mkumbuke pia kwamba ukitaka u enjoy mapenzi jaribu kujifunza kukubali weakness za mwenzio...probability ya kupata exactly wat yo want ni ndogo sana cuz anaeza kua na vyote ulivyotaja au una wish akawa na kimoja tuu ambacho unaweza wish bora angekosa vile vyote ulivyotaja na sio hicho kimoja....Tujifunze kuishi kwa kukubali udhaifu au vitu ambavyo mwenzi wako anazo
 
Hapa ndo weng hesabu zenu mnakosea !!.

Ushajua ID yako ya awali ilijaa maluwe luwe ,basi mnakuja na ID mpya !!.ivi unadhan hata uyo mwanamme atakayekuja ,yeye Hajui ulikua na ID ingine apo wali ?.

Embu njooni ktk Uhalisia wenu bana ,nini mnachoogopa ??

Haya nimatokeo ya ulichokua unakifanya na kukisema humu ,, MTU kama unajijua ulikua unafanya nakusema mzur, haina haja ya kuja na ID mpya !!. Sure hamna muoaji asotaka kujua niwapi umetokea.

Basi hata ungeacha kidogo upost post na kukoment post nzur zenye uvuto ,ili uwavutie, sasa hilo nalo linakushinda !!

Sister am very sory to say this ,," watakuja ma boyfriend lkn sio Mumefriend" ..hapa ndipo utajua Mwanamme nikiumbe mwenye Akili.
Nikweli kabisa
 
Back
Top Bottom