miminimama
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 696
- 1,818
- Thread starter
-
- #261
wanaume wa humu wana haraka sana hatufahamiani ila anataka tukionana tufanye mapenzi.pole sana,mie nimeona couples kibao,wanaishi bila ngono,omba Mungu akupe wa kufanana nae..
kaka sikuelewi, ungenieleza tu nikajipima mwenyewe kama naweza au.Utaweza gharama zake?
wanaume wa humu wana haraka sana hatufahamiani ila anataka tukionana tufanye mapenzi.
Njoo pm tuyajenge mimi pia natafuta mke ila masharti na vigezo huzingatiwa kwa pande zote mbiliNatafuta mume rejea tangazo la nyuma, najua mtajiuliza mbona sijapata asilimia 99 wanaotaka mawasiliano wanataka ngono hivo naishia kukata mawasiliano, nimekutana na mmoja tu mara moja ila hatujafika muafaka, sijakata tamaa bado natafuta.
Mh mjumbe hii hoja ya kibepari naiomba nikaombee mkopo benki[emoji3][emoji3]Anything’s possible if you’ve got enough nerve.
But do not forget that In the middle of difficulty lies opportunity
Mwanamke itachacha hiyo kitu, wanaume hadi waonje ndo watakubali we unataka kuwauzia vijana mbuzi kwenye gunia wakikuta ni nguruweNatafuta mume rejea tangazo la nyuma, najua mtajiuliza mbona sijapata asilimia 99 wanaotaka mawasiliano wanataka ngono hivo naishia kukata mawasiliano, nimekutana na mmoja tu mara moja ila hatujafika muafaka, sijakata tamaa bado natafuta.
We umejuaje kama anakuja na mipira, mgegedo ndo spice ya kupata mumetunawasiliana siku 2 au 3 anasema tuonane anakuja na mipira nimpe hotelini.
Mapema sana
Age uliyonayo lazima haraka ziwepo we siyo binti tena yule ambaye kugegedwa anaogopa, anawaza itakuwaje akikutana na gegedo asiloliweza.wanaume wa humu wana haraka sana hatufahamiani ila anataka tukionana tufanye mapenzi.
Hii hoja nimeandikiwa na yule mtoto wa are D....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Mh mjumbe hii hoja ya kibepari naiomba nikaombee mkopo benki[emoji3][emoji3]
Hujawahi kuniangusha mh mjumbe kwenye golden chance[emoji3][emoji3]Hii hoja nimeandikiwa na yule mtoto wa are D....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ndugu mjumbe....Hujawahi kuniangusha mh mjumbe kwenye golden chance[emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ndugu mjumbe....
Naomba niunge mkono hoja [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Na Mimi muuza majeneza naweza kukufaa?Natafuta mume rejea tangazo la nyuma, najua mtajiuliza mbona sijapata asilimia 99 wanaotaka mawasiliano wanataka ngono hivo naishia kukata mawasiliano, nimekutana na mmoja tu mara moja ila hatujafika muafaka, sijakata tamaa bado natafuta.
Labda anataka aolewe kwa misingi ya kidini yaani hamna kubanjuana mpaka mfunge ndoa halafu baada ya mwezi aje hapa kulalamika kuwa mme ana kibamia au hasimamishi kabisa.Haha eti anataka ngono, sasa mume unamtaka wa nini kama hutaki ngono? Au wanaume siku hizi ni mapambo
Sent using Jamii Forums mobile app