Natafuta mume

Natafuta mume

Status
Not open for further replies.
naona nimekosea kuja humu nlijua nitapata faraja ila nashambuliwa sikupenda wala sikutaka kuwa hivo
Usijali binadamu wana uhuru wa maoni tofauti ni kawaida. Usitegemee kusikia maoni ya kukufurahisha tu,kuna wengine watakufariji kama unavyotaka wewe.
 
Mimi ni msomaji mzuri wa humu muda mrefu sana,najitokeza kwenu kutafuta mume ambae yuko tayari kwa ndoa na kupima ukimwi.
Wasifu.
Ni mama wa mtoto mmoja.
Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu chuo kikuu japo kwa sasa sina ajira.
Umri wangu miaka 30.
Mkristo.
Mwanaume nimtafutae.
Kuanzia miaka 32.
Awe anajitambua na ajue nini maana ya mke na familia na amkubali na kumpenda mwanangu kama mwanae wa kumzaa
Awe tayari kupima ukimwi.
Nahitaji mwanaume aliekuwa serious muda wa kupotezeana sina asiwe na mahusiano yoyote anipende sana na kunilea kama yai maana mie najua kupenda sana na ninajua nini maana ya mwanaume.
Karibuni
Huyo mtoto kampe baba yake, mwanaume hawezi kulea mtoto asiye wake wakati baba yake anakula starehe,
 
ushawahi kuona mjamzito wa miezi 6 anataka agongwe na gari sababu ya aliyempa ujauzito na yeye anachekelea?Nimenusurika kufa,nimedhihakiwa,nimetukanwa,nimepigwa nimepoteza mali mwanangu kapewa roho ya kukataliwa hata kabla hajaja duniani naimani mpaka sasa nipo hai ni kwa sababu ya bguvu ya Muumba aliyejuu
Nakushauri ukae utulie mwanaume utampata tu ukijenga mazingira ya kuchanganyikana na watu au majirani nk
 
baba yake hamtaki tokea mimba,kasema akikua mtoto atamtafuta ila yeye hataki mtoto wala hawezi kumtafuta
Ulitakiwa uchukue hatua za kisheria, au uligonganisha magari kila mmoja akachomoa? Kwasababu kwa hali ya kawaida mwanaume uliyenaye katika mahusiano hawezi kukataa mimba hadi mtoto kama mahusiano yako yanaeleweka.
 
Usiniumize kaka sikupenda hli litokee na nimehangaika sana binafsi mpaka sasa nina uchungu na ninaon aibu nimeharibu kazi,nimeharibu maisha,ndugu wamenitenga nimekuwa na maisha hayakko sawa faraja yangu ni mwanangu na mume inauma sana kuitumikia familia na kuwajali kama wako wakakugeuka na kusahau kila kitu mbaya zaidi na mtoto wamekuachia wamekutesa toka mimba mpaka umejifungua
pole sana dada
 
Ulitakiwa uchukue hatua za kisheria, au uligonganisha magari kila mmoja akachomoa? Kwasababu kwa hali ya kawaida mwanaume uliyenaye katika mahusiano hawezi kukataa mimba hadi mtoto kama mahusiano yako yanaeleweka.
hapana yalikuwa mahusiaono thabiti kabisa na sijawahi kuwa na mwanaume mwingine,miaka yote mwanaume alikuwa hana kazi maalumu mimi ndiyo nlikuwa msaada kwake na kwa familia na kazi nlivyopoteza wakanigeuka tena hapo nlikuwa na ujauzito,hajaajiriwa hatua za kisheria nimeshindwa kuchukua ameoa mwanamke ukoo wa kitajiri mwanza natumani atakuwa na maisha mazuri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom