Natafuta mume

Natafuta mume

Hutaki Mwanaume Mchagga coz unajua korofie? Unamtaka mwanaume ndio mke wangu?
 
Ukifika 35yrs utapunguza vigezo automatically. Hapo kwenye education upande wa mume itakuwa any[emoji4]
 
Mtu wa Maisha huja automatically,Naomba Uwe mtulivu na Mshirikishe Mungu utapata Mume wa Kweli utaishi maisha mazuri na utaandaa familia bora na kizazi kizuri na inshu ya Elimu au vigezo ulivyoweka usivipe kipaumbele zaidi
 
Habari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima

Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
Hakuna mchumba hapa wala 'msebule'
Kuna mtu anatafutwa hapa,wapenda vidosho lazm watanaswa hapa.
 
Habari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima

Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
Dada degree ya nini?Nina mashaka elimu yako haijakusaidia!
 
Back
Top Bottom