Njoo pmBuku jero
Sawa basi subiri niwe mkubwaAcha nijihakiki kwanza ila hapokwenye Rangi nishaumia
Umri wako huo nao bado sogea sogea mbele kidogo
26 ni pasua kichwa sana..atleast ufike 28 hv ndio wale wadudu kuwasha washa huko kichwani wanakuaga wameanza pungua
Hata hivyo nishajiona sienei kwenye hiyo rambo.
Duuuuuu!! Kazi ipoSalaam kwenu.,,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm
Ahsanteni sana
Futa huu uzi basi mama. Me naumia sana ujue.Sikutesi jamani
Jamaa yuko serious.Ngoja
Na usiendeMI nashangaa sana,tena nashindwa kuelewa
[emoji23][emoji23][emoji23] sawa mamaYoyote [emoji23]
Dah..Sina [emoji44]Huna elimu yoyote?
La saba unaandika vizuri hivyo mmh Acha uongo ni mbaya