Natafuta mume

Waambie wanavyokuja pm watume na picha zao kabisa ili iwe rahisi kufanya shortlist
 
Vipi 0713 inatumika?
 
Njoo pm tujengane
 
Ndo nafungua mda huu JF
nakutana tangazo lina post #259

Ni kama siamini hivi au acc imeingiliwa na waharifu!!

Haya mtani kila lilojema kwako!
 
Huyu sio la Saba amesoma sana so wanaume wanamuogopa au anataka wa kumuendesha yeye aina za wanawake wasomi wajanja wajanja sana... Atakayempata kama amepigika kimaisha ataenjoy na kunung'unika kwa Pamoja...

Nina Girlfriend wangu kila nikifanya kitu anakipinga pinga au kukikosoa as if yeye mjuaji zaidi, na anataka yeye ndio asikilizwe na aelekeze so ukimkubalia anakuwa happy na ukikaza ni ananuna tu namvutia pumzi tu kuna rafiki yake akiingia king nitampiga down
 
Ningekuwa single ningekuja tuliendeleze gurudumu la maisha
 
Looh sala zangu zimejibiwa. Welcome Prime Minister!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…