Natafuta mume

Natafuta mume

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Salaam kwenu.,,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]


Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.

Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26

Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm


Ahsanteni sana
 
Mkuu..!! Wanasemaga kifo cha wengi harusi yaani hakina majonzi hata kidogo

Kwa hiyo usishangae sana kuona hiyo manipulation inayofanyika hapo.

Wewe unafikiri Old cargos wanafurahia kuwa pekee yao tu kwenye Gang? Lazima wafanye juhudi za kuwaongeza wanachama in the house!!

Hapo anataka dogo afikishe 33+ umri ambao ni bahati nasibu kumpata mwenza aliyesahihi ndio aanze kufikiria ndoa, halafu waanze kuimba wote chorus moja u "ndoa sio lazima.."
Eti kifo Cha wengi Nini!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe Lizarazu Mungu anakuona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Una uhakika km anataka wafe wengi!??
Hivi lizarazu una Nini lkn wewe!?
 
Kiufupi ni kwamba hiyo miaka 26 kwa mwanamke ni jua la saa kumi.

Kikawaida mpaka kufikia umri huo ilikuwa inatakiwa awe na mchumba tayari na sio ndio kuanza kutafuta.

Hapo sasa hivi alipo ana miaka miwili tu akikosa basi, probability inaanza kupungua na hatimae anaingia rasimi kwenye old cargos gang.
Jua la saa 10 ndio lipi Hilo[emoji3]?
Una maneno wewe
 
Back
Top Bottom