Okay!! Good night to you ms. RebeccaNingekuletea hio info..ya kundi gani ndoa zao hudumu..ila najua hata ukipewa nini utabisha tuu...
kwa heri ngoja nikalale,siwezi Rebeca kubadilisha mtu alielelewa na kujua miaka yote kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu anayetakiwa kutawaliwa na kuendeshwa kama ng'ombe!
Bye,my last post to you...
Ahahahhaha... Kuna wengine hawafurahishwi na uwepo wangu na hao ndio nataka wafurahi😅Wewe maneno huumba.
Usije ukafa kesho kweli[emoji134].
Bado tunahitaji uwepo wako.
Basi ngoja nilale labda kesho nikisoma ntamuelewa vizuriNadhani hujamuelewa.
Alichomaanisha yeye Sio asitafute mchumba..Bali awe makini na asiharakie Sana maana ndoa Ni taasisi kubwa na Jambo kubwa hasa kuchagua mtu wa kuishi Naye maisha yake yote.
Nyie mna mawazo sawa,,sema tu hamuelewani
Ila we najua sio mwembamba,,Salaam kwenu.,,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm
Ahsanteni sana
Usije kufa[emoji26][emoji26]Ahahahhaha... Kuna wengine hawafurahishwi na uwepo wangu na hao ndio nataka wafurahi[emoji28]
Bora ulale.Basi ngoja nilale labda kesho nikisoma ntamuelewa vizuri
Kwa kweli dada kalale.,usipoteze muda wako kubishana na huyu kijana.Ningekuletea hio info..ya kundi gani ndoa zao hudumu..ila najua hata ukipewa nini utabisha tuu...
kwa heri ngoja nikalale,siwezi Rebeca kubadilisha mtu alielelewa na kujua miaka yote kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu anayetakiwa kutawaliwa na kuendeshwa kama ng'ombe!
Bye,my last post to you...
Una uhakika?Nyie potezeni muda tu hilo ni dume tena la mbegu
Kwanini ni panic...... Uzi nimeanzisha mwenyewe, tupo hapa kufurahi, maisha ni mafupi mno
Sisi tunawaambia ukweli tuBoss umefika na wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona Relief Mirzska nae amekazana kushambulia..mkiongozwa na nahodha wenu Lizarazu
Me nshakusihi, hutaki subiri na wewe ufike 30s ndio utajua.Lizarazu ukalale sasa.
Umeandika mno jamani.
Acha kumu attack dada wa watu..huo ni mtazamo wake.
Msianze kumuattack kwa sababu tu mawazo yake hayajalingana na yenu..naona mnaanza kuhusianisha na vitu ambavyo havipo Wala yeye mwenyewe hajafikiria.
Acheni bwana
Extrovert
Relief Mirzska usijidai huoni quote zangu
Wacha weee, unakosewa adabu sio???Nyie Kwanini mkimbilie kumaanisha vitu tofauti na mawazo yake!??
Sio vizuri hivyo Lizarazu
Kwa hiyo Mimi sijui kujiongeza ninaposoma kitu!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kunikosea adabu
Usimchanganye zeshchriss katika hili. Mitazamo yetu haikinzani na amejiona muda umefika ndio maana anatafuta mume.Nimekuelewa vizuri Sana.
Na umemaanisha kwamba huyu Rebeca 83 anataka wawe wengi kwenye kundi la Hilo unaloliita old cargos..
Na hii Ni kutokana na mitazamo yenu kukinzana juu ya huyu binti muanzisha Uzi.
Mimi naona humtendei haki huyo dada,unamkandamiza na SI ajabu lengo lake Sio Hilo unalolisema wewe.
Nimekusikia mimi jamani..Mi usimpe mtu, baki nao mwenyewe. Sijui umenisikia au niongeze sauti.
Hahaha awe soft kidogo au siyo [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti kifo Cha wengi Nini!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe Lizarazu Mungu anakuona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Una uhakika km anataka wafe wengi!??
Hivi lizarazu una Nini lkn wewe!?