Natafuta mume

Una utani sana
 
Z
Kwamba la saba ya zamani na ya sasa zina utofauti gani ?
Ina tofauti kubwa sana,
Ifungulie uzi wake kisha tutakuja kukupa tofauti zilizopo

Kwa kifupi tu, tuliomaliza 2002 hakukua na mitaala kuchanganywa changanywa pia la saba wa sasa hata kuandika hawajui
 
Akikataa kwako niko tayari mimi naye tuwe mke mwenza.
Thanks darling kweli unanipenda mdogo wako[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Z
Ina tofauti kubwa sana,
Ifungulie uzi wake kisha tutakuja kukupa tofauti zilizopo

Kwa kifupi tu, tuliomaliza 2002 hakukua na mitaala kuchanganywa changanywa pia la saba wa sasa hata kuandika hawajui
Hahahahahaha kabisa mkuu kumbe unajua
 
Dear nimekuhamu mno [emoji7][emoji7][emoji7]mdogo wangu Zeshchriss siamini ulicho andika.
Dear nilichoandika kimetoka moyoni, nimechoka kuwa mpweke dada, na Muda wa kuwa na familia umefika
 
Apo ni mabaharia Tisa tofauti tofauti
 
Nachokiona hapa ww hutafuti mume, Bali Kuna utafiti unaufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ