Natafuta mume

Natafuta mume

Natafuta mke
Sifa zangu
Ni mchamungu,
Rangi yangu n i mweusi
Sina kitambi,
Ninajitambua kuwa mimi ni mwanaume na najua kuutumia vizuri uanaume wangu,

Sifa za mke nimtakae

Mweusi,
Mwembamba,
Asiye na matako makubwa,
Elimu la saba,
Asiye na mtoto.


Huu uzi nadhani ufungwe lengo la mleta mada nishalitimiza.
Una utani sana
 
Z
Kwamba la saba ya zamani na ya sasa zina utofauti gani ?
Ina tofauti kubwa sana,
Ifungulie uzi wake kisha tutakuja kukupa tofauti zilizopo

Kwa kifupi tu, tuliomaliza 2002 hakukua na mitaala kuchanganywa changanywa pia la saba wa sasa hata kuandika hawajui
 
Z
Ina tofauti kubwa sana,
Ifungulie uzi wake kisha tutakuja kukupa tofauti zilizopo

Kwa kifupi tu, tuliomaliza 2002 hakukua na mitaala kuchanganywa changanywa pia la saba wa sasa hata kuandika hawajui
Hahahahahaha kabisa mkuu kumbe unajua
 
Dear nimekuhamu mno [emoji7][emoji7][emoji7]mdogo wangu Zeshchriss siamini ulicho andika.
Dear nilichoandika kimetoka moyoni, nimechoka kuwa mpweke dada, na Muda wa kuwa na familia umefika
 
Apo ni mabaharia Tisa tofauti tofauti
Salaam kwenu.,,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]


Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.

Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26

Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm


Ahsanteni sana
 
Salaam kwenu.,,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]


Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.

Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26

Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm


Ahsanteni sana
Nachokiona hapa ww hutafuti mume, Bali Kuna utafiti unaufanya
 
Back
Top Bottom