mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
Asubutuu Chezea kulala utupu aje kunisaidia na mimi.Hahahahaha we bado mpya mtashindwana aje kwangu mie muhenga anisaidie shughuli
Shemeji hata wewe.Mungu akupe hitaji la moyo wako upate mume bora,sio bora mume.
Fafanua: Awe anajua kutumia uanaume wake.
[emoji47][emoji47][emoji47]Hahahahaha tatizo we mambo mengi
Kwa sifa za ucha Mungu wa kiislam nafikiri nimekidhi vigezo, mimi ni ustaadh mzuri tu nipo nakusubiri kitambo sana, kama na wewe ni muislam naomba niruhusu nikufate PMSalaam kwenu.,,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm
Ahsanteni sana
[emoji23][emoji23][emoji23]acha ufwalaaHivi Umeanza lini hii tabia shem???? Mimi natafuta mume[emoji29][emoji29][emoji29]
Hahahaha nimecheka kwa sauti kulala utupu si kazi ndogo etiAsubutuu Chezea kulala utupu aje kunisaidia na mimi.
Shemela huwezi amini moja ya comment nilikuwa nahitaji kuona kwenye uzi huu ni yako kitu gani kimetokea siamini ujue au Zeshchriss ana changamsha tu.Shemeji hata wewe.