Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Sawa anko
Anko fanya km nilivyokuambia....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anko fanya km nilivyokuambia....
Napendaga hizo ndo zinafanya maisha yawe funnyHahaa, hii inatwa dawa chungu mpaka mwisho na haiponyi mkuu, acha tu
We njoo niambie tuHahaa, hii inatwa dawa chungu mpaka mwisho na haiponyi mkuu, acha tu
No thank you Sir![emoji1]We njoo niambie tu
natamani nikuone niongee na wewe ....Salaam kwenu.,,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm
Ahsanteni sana
Una nini mkuu?Hahahahahhahahaha ndio sina tako