Natafuta mume

Natafuta mume

Dada yangu ni singo maza ana watoto watatu, watoto wote kawazalia home, Bas watoto wanakaa kwa Bibi yao Mwanza jiji Halafu Mimi nakaa kijijini ndo kituo changu Cha kazi kilipo,

Mama umri umeenda namtunza shida nikimtumia hela ya kujikimu na maisha ya mjini yalivyo magumu vyakula Bei juu hela inakuwa haitoshi maana anatumia hizo hela kufanya mahitaji ya wajukuu wake, Mara nguo, viatu wakati mama yao yupo tu Bado mdogo miaka 35 anazurula hajulikani yuko wapi anafanya kazi gani?

Ukiona mtu anapopoa masingo maza humu ujue Kuna kitu,
Pia wanaume waliozaaa na masingo maza halafu hawatunzi watoto wao wanaume hao inatakiwa wafungwe kifungo Cha maisha.
Hapo shida ni mama wa watoto hajitambui
Lkn pia sidhni km ilikuwa kwa huyu dada kumhukumu kwa makosa ya wengine lkn mseme mkweli wengi wako bright Sana kwasabbu walishafnya makosa hapo mwanzo bas tu ndo ivo
 
Lkn msiwahukumu watu bila kujua yaliyowakuta wapo wengi wanafurahia ndoazao na single mama haohao mnawananga,

Kama hauna uhitaji kaa kimya wenye uhitaji watawapenda
Kilamtu kaumbiwa wake kma sio type zenu msiwachafue kwa Mambo ya kusadikika et kurudiana na mwanaume wake vipi na wanawake wanaolea watoto zenu mliozaa nje???

Me siwezi kumchafua mtu dada angu
Even my sister ni single mother...
Ila hi hainipi ugumu kusema UKWELI!
Sio wote sawa ila wengi wao hua inakua hivyo
Hawaachani na wazazi wenzao!


Mim ninae ongea hapa nmekua nao wawili kwa nyakati tofauti

Wakwanza tulikua na mahusiano normally tu....siku akaniambia tu baba ....anakuja kumuona mwanae nkasa sawa...jamaa alikaa nae siku7 [emoji16][emoji16]
Yule dada alikua anamtoroka jamaa yake night anakuj kugonga geto sifungui
Jamaa aliposepa akawa full kushinda mazingira ya room akijua ntataka kufanya kama yeye nkatulia tulii

Huyu mwingine naomba nisiseme kitu...
Me nlishafikia had uamuzi wa kutaka anibebee mimba ili iwe gia ya kwenda nae home sababu hiv hiv ingekua ngumu
Ila matokeo yake!!!!!

Naomba nisamehe bule
Huwez kujua utamu wa hi ngoma kama huchezi na bila ya kupepesa macho naomba nikil wazi tu kwangu itakua NGUMU!
 
Me siwezi kumchafua mtu dada angu
Even my sister ni single mother...
Ila hi hainipi ugumu kusema UKWELI!
Sio wote sawa ila wengi wao hua inakua hivyo
Hawaachani na wazazi wenzao!


Mim ninae ongea hapa nmekua nao wawili kwa nyakati tofauti

Wakwanza tulikua na mahusiano normally tu....siku akaniambia tu baba ....anakuja kumuona mwanae nkasa sawa...jamaa alikaa nae siku7 [emoji16][emoji16]
Yule dada alikua anamtoroka jamaa yake night anakuj kugonga geto sifungui
Jamaa aliposepa akawa full kushinda mazingira ya room akijua ntataka kufanya kama yeye nkatulia tulii

Huyu mwingine naomba nisiseme kitu...
Me nlishafikia had uamuzi wa kutaka anibebee mimba ili iwe gia ya kwenda nae home sababu hiv hiv ingekua ngumu
Ila matokeo yake!!!!!

Naomba nisamehe bule
Huwez kujua utamu wa hi ngoma kama huchezi na bila ya kupepesa macho naomba nikil wazi tu kwangu itakua NGUMU!
Lkn sidhani km wote na inawezekana wengi wanajuta Sana kuzaa bila ndoa lkn duh maisha hayako fair nimewaza tu anavojisikia huyu dada
 
Ni kweli kila mtu ana machaguo yake, ila wanawake mmezidi (hasa wenye vijielimu mbuzi) expectation kibao, vigezo kibao afu unakuta mwanamke mwenyewe shapeless sura kama mjomba wake ila mashauzi utadhani mnakunyaga bagia.

Mnafuatwa na wanaume wenye nia ya kuwaoa mkiwa 21 - 26 ooh "usinipotezee muda nina malengo yangu" haya sasa mnakuja kutujazia severs za jf na manyuzi ya kutafuta mume, nyie mna akili kweli ?! nendeni mkaolewe na malengo yenu.
Pole sana
 
Kuna single maza alikua anataka kweli nimuoe akadai hata baba yake mzazi anadai eti mimi ndio namfaa.
 
Ni kizazi cha Facebook na insta kilichohamia huku. Wapuuzi kwelikweli. Zamani hii page ilikuwa serious kwelikweli na wengi walipata wenza hapa siyo siku hizi full kukatishana tamaa
Weweeee..atuambie baba mtoto yuko wapi...unataka akizoea ndoa aanze "baba mtoto anataka kumuona mwanae".....
 
Huu umri wa mtoa mada ni sahihi sana kuja kutulia kwenye Ndoa. Maana umri huu anakuwa kashatosheka na kurukaruka sasa akili inaanza kutulia.

Kwa wale wenye nia ya kupata mke nawajuza kuwa huyu ndio mke. Tatizo ni moja tu, Mzazi mwenzake akianza kuja kumuona mwanae hapo ndio mazoea ya kupasha viporo yatapoanza.
 
Unipe pole mimi ?! Kichekesho cha Joti kwa TV. You are shooting in a wrong direction my dear. Uache kumpa pole single mother mwenzenu, unipe mimi ?! Oooh inashangaza kiasi gani.
Unaonekana kuna jambo ulitendwa sio bure... pooleee😂😂😂
 
Huu umri wa mtoa mada ni sahihi sana kuja kutulia kwenye Ndoa. Maana umri huu anakuwa kashatosheka na kurukaruka sasa akili inaanza kutulia.

Kwa wale wenye nia ya kupata mke nawajuza kuwa huyu ndio mke. Tatizo ni moja tu, Mzazi mwenzake akianza kuja kumuona mwanae hapo ndio mazoea ya kupasha viporo yatapoanza.
Kumbe shida ni viporo[emoji23]
Unampa show ya nguvu uyo nyau wake anamuona kama msukule
 
Single Mothers :

1. Wapo walioingia hapo kwa bahati mbaya ,mfano anakutana na mtu anamsoundisha mtoto wa watu anajua kweli huyu ni mume mtarajiwa kumbe tapeli, au anaolewa na mtu anamnyanyasa mwisho wanaachana. Hapa utamlaumu vp single mother.

2. Wale wa kuchagua six packs, awe na gari , awe na pesa n.k.n.k, hawa wamejitakia.

NB:
Kabla ya kumlaumu single mother lazma ujue nini kilipelekea kuwa single mother?
 
Ukute mtoa mada enzi za ujana wake
"Siolewi na mwalimu"
"Nataka mrefu aliyejazia kama juma mpemba"
"Nataka mwenye pesa na gari"

Haaaahaa and nooooooow. "nataka yeyote aliye serious" WTF
 
Unaonekana kuna jambo ulitendwa sio bure... pooleee😂😂😂
Aise waliosema "wanawake wanaongea kwa hisia na sio akili" walikua sahihi sana. Mimi naonekana nimetendwa ?!, tehe he hee

Hivi nyie masingle mothers mnaotafuta wanaume mitandaoni baada ya kuzalishwa na kuachwa na mimi nani katendwa ?! Mkuu unauhakika haujalewa ?
 
Back
Top Bottom