Natafuta mume

Natafuta mume

Namshukuru Mungu kwema kabisa ndugu yangu, sijui huko Koromije?
Akili imechoka, tuingie humu tujiliwaze tunakutana na dharau ya viungo vya mama zetu.
[emoji1787][emoji1787]yani wanaorodhesha tu alafu utasikia I love my mom anasahau alipoandika kilaalozaliwa katokea hapo

Ngoja nikaselfike

mtejawangu mpendwa[emoji23][emoji23][emoji23]Shimba ya Buyenze
 
Lkn sidhani km wote na inawezekana wengi wanajuta Sana kuzaa bila ndoa lkn duh maisha hayako fair nimewaza tu anavojisikia huyu dada

Maisha hayako fair kabisa dear
Sana sana,na sisi wanaume ndio chanzo 1
2 wadada wanatamani sana
Na hapa ukubal ukatae ndio chanzo cha ongezeko hili
Mfano kuna dada mmja nliwah kua na mahusiano nae....akawa amenmby anataka kuzaa nkamwambia siko okey this time....Ngoja kidogo tu set afu itakua pow....akajib sawa kumbe kwa unyonge

Kaingia sehemu nyingine kumbe jamaa ana mke wake na kashampiga mimba....

Nowadays hanisalimii sababu alitaka nirudiane nae wakat hata hajajifungua kanichukia
Hapa utalaum vip dada?
 
Maisha hayako fair kabisa dear
Sana sana,na sisi wanaume ndio chanzo 1
2 wadada wanatamani sana
Na hapa ukubal ukatae ndio chanzo cha ongezeko hili
Mfano kuna dada mmja nliwah kua na mahusiano nae....akawa amenmby anataka kuzaa nkamwambia siko okey this time....Ngoja kidogo tu set afu itakua pow....akajib sawa kumbe kwa unyonge

Kaingia sehemu nyingine kumbe jamaa ana mke wake na kashampiga mimba....

Nowadays hanisalimii sababu alitaka nirudiane nae wakat hata hajajifungua kanichukia
Hapa utalaum vip dada?
Mmh ngumu kumeza aisee
 
Kuna ubaya gani mtu akihitaji kupata faraja ya moyo wake jamani 🥺🥺🥺
 
Too much hateful and negative comments. guys tujitahidi kuwa na kiasi kwa maneno. Wewe unaeza sema easy kumbe behind keyboard someone is hurting inside
 
Aende zake huko azalishwe na mwengine aje kutafuta mume hapa na machirizi yake ya uzazi na kovu la mshono.
Mkuu hata mimi ndio nilikua nashangazwa hapo. Afu walivyo anaona yeye ndio anaonewa na wanaume ni jukumu letu kumuonea huruma.

Afu ukiwaambia wawe makini na mienendo yao kuna beta males aka weak males wanakuja kuwatetea.
 
Jamaa kapiga kapita mpaka umzalie kashindwa kukuoa then utafute mwingine si dharau izo aliyekuzalisha kama yupo hai mfuate akuoe

Mi sumu yangu mwanamke akiwa na mtoto hata awe malaika hata kutongoza sisogei
 
Madhara ya ile Nofap challenge yameanza kuonekana mtaani😂

Timu ndo kwanza ziko uwanjani zinafanya warm-up, lakini scoreboard inasoma 1-0.
Wewe uliona wapi??
🤔
Ni majanga mkuu mechi inaanza 1 - 0 alafu wanasupaa tukubaliane nao. Aise
 
Kuna single maza alikua anataka kweli nimuoe akadai hata baba yake mzazi anadai eti mimi ndio namfaa.
Ukiwa ndotoni unaota upo choon unataka kukojoa ' USIKOJOE' ni mtego utanishukuru baadae(in late JPM's voice)!!
#mwanaume anatumia akili za kichwa(smartness upstairs) na sio akili za kichwa cha chin!!

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Jamaa kapiga kapita mpaka umzalie kashindwa kukuoa then utafute mwingine si dharau izo aliyekuzalisha kama yupo hai mfuate akuoe

Mi sumu yangu mwanamke akiwa na mtoto hata awe malaika hata kutongoza sisogei
Hakuna mwanaume mwenye akili timamu ataenda kuoa single mother wakati mabinti wabichi wamejaa tele mitaani. Ni wanaume magoi goi simps wataoa hao single mothers
 
Back
Top Bottom