Natafuta mume

Hapo shida ni mama wa watoto hajitambui
Lkn pia sidhni km ilikuwa kwa huyu dada kumhukumu kwa makosa ya wengine lkn mseme mkweli wengi wako bright Sana kwasabbu walishafnya makosa hapo mwanzo bas tu ndo ivo
 

Me siwezi kumchafua mtu dada angu
Even my sister ni single mother...
Ila hi hainipi ugumu kusema UKWELI!
Sio wote sawa ila wengi wao hua inakua hivyo
Hawaachani na wazazi wenzao!


Mim ninae ongea hapa nmekua nao wawili kwa nyakati tofauti

Wakwanza tulikua na mahusiano normally tu....siku akaniambia tu baba ....anakuja kumuona mwanae nkasa sawa...jamaa alikaa nae siku7 [emoji16][emoji16]
Yule dada alikua anamtoroka jamaa yake night anakuj kugonga geto sifungui
Jamaa aliposepa akawa full kushinda mazingira ya room akijua ntataka kufanya kama yeye nkatulia tulii

Huyu mwingine naomba nisiseme kitu...
Me nlishafikia had uamuzi wa kutaka anibebee mimba ili iwe gia ya kwenda nae home sababu hiv hiv ingekua ngumu
Ila matokeo yake!!!!!

Naomba nisamehe bule
Huwez kujua utamu wa hi ngoma kama huchezi na bila ya kupepesa macho naomba nikil wazi tu kwangu itakua NGUMU!
 
Lkn sidhani km wote na inawezekana wengi wanajuta Sana kuzaa bila ndoa lkn duh maisha hayako fair nimewaza tu anavojisikia huyu dada
 
Pole sana
 
Kuna single maza alikua anataka kweli nimuoe akadai hata baba yake mzazi anadai eti mimi ndio namfaa.
 
Ni kizazi cha Facebook na insta kilichohamia huku. Wapuuzi kwelikweli. Zamani hii page ilikuwa serious kwelikweli na wengi walipata wenza hapa siyo siku hizi full kukatishana tamaa
Weweeee..atuambie baba mtoto yuko wapi...unataka akizoea ndoa aanze "baba mtoto anataka kumuona mwanae".....
 
Huu umri wa mtoa mada ni sahihi sana kuja kutulia kwenye Ndoa. Maana umri huu anakuwa kashatosheka na kurukaruka sasa akili inaanza kutulia.

Kwa wale wenye nia ya kupata mke nawajuza kuwa huyu ndio mke. Tatizo ni moja tu, Mzazi mwenzake akianza kuja kumuona mwanae hapo ndio mazoea ya kupasha viporo yatapoanza.
 
Unipe pole mimi ?! Kichekesho cha Joti kwa TV. You are shooting in a wrong direction my dear. Uache kumpa pole single mother mwenzenu, unipe mimi ?! Oooh inashangaza kiasi gani.
Unaonekana kuna jambo ulitendwa sio bure... pooleee😂😂😂
 
Kumbe shida ni viporo[emoji23]
Unampa show ya nguvu uyo nyau wake anamuona kama msukule
 
Single Mothers :

1. Wapo walioingia hapo kwa bahati mbaya ,mfano anakutana na mtu anamsoundisha mtoto wa watu anajua kweli huyu ni mume mtarajiwa kumbe tapeli, au anaolewa na mtu anamnyanyasa mwisho wanaachana. Hapa utamlaumu vp single mother.

2. Wale wa kuchagua six packs, awe na gari , awe na pesa n.k.n.k, hawa wamejitakia.

NB:
Kabla ya kumlaumu single mother lazma ujue nini kilipelekea kuwa single mother?
 
Ukute mtoa mada enzi za ujana wake
"Siolewi na mwalimu"
"Nataka mrefu aliyejazia kama juma mpemba"
"Nataka mwenye pesa na gari"

Haaaahaa and nooooooow. "nataka yeyote aliye serious" WTF
 
Unaonekana kuna jambo ulitendwa sio bure... pooleee😂😂😂
Aise waliosema "wanawake wanaongea kwa hisia na sio akili" walikua sahihi sana. Mimi naonekana nimetendwa ?!, tehe he hee

Hivi nyie masingle mothers mnaotafuta wanaume mitandaoni baada ya kuzalishwa na kuachwa na mimi nani katendwa ?! Mkuu unauhakika haujalewa ?
 
Unateseka mno [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi sibishanii matusi alafu sikufunzwa kutukana watu

Kufukuzana na chizi nawew utaonekana mwendawazimu sio vitu vyangu relax
Inatosha mpwa....iginoa listi![emoji1545]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…