monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!Ungeolewa na aliekuzalisha.
"TIINYA AGATINYA AB'ANDI"
"Ogopa wanachokiogopa na wengine"
Pole kwa mtoa mada kwa the hurting but hey ni kutokana na hurting ndio iwe fundisho kwa the rest wanaodanga mitaani na kujirahisi, high time the rest of girls got their heads up and stand by morals, dont you think so ?its fine, but haina haja ya ku-spread negative comments
They are hurting so much. mimi I can feel mtoa mada.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]skupanga kucheka maan mm ni wa kike lkini hii comment imenifnya nichekeUsed Merchandise [emoji23]!!!
Aisee baba wa mtoto yupo au kashaumaliza mwendo? Mie nina bloo wangu sema hapendagi ujinga ukileta mambo ya kiwaki unakula nakoz. Una hakika utaweza kutuliza mbususu forever [emoji23]
😂😂😂😂😂😂 ndio hivyo maana mkataba wa ndoa hauruhusu upashaji viporo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]skupanga kucheka maan mm ni wa kike lkini hii comment imenifnya nicheke
Sawa CDF bwana afande umesikikaPole kwa mtoa mada kwa the hurting but hey ni kutokana na hurting ndio iwe fundisho kwa the rest wanaodanga mitaani na kujirahisi, high time the rest of girls got their heads up and stand by morals, dont you think so ?
huyo kaka yako yuko teyar kutuliza bloyangUsed Merchandise [emoji23]!!!
Aisee baba wa mtoto yupo au kashaumaliza mwendo? Mie nina bloo wangu sema hapendagi ujinga ukileta mambo ya kiwaki unakula nakoz. Una hakika utaweza kutuliza mbususu forever [emoji23]
Hongera kwa ushauri mzuri mkuu, tusiwatole maneno ya kasha, ila je pia uwa unawashauri wao wasitoe maneno ya kasha kwa wanaume wafupi ?! Na wasio na magari ?!Sasa msimtolee maneno ya kashfa.. bora yeye muwazi
Hakuna ubayaKuna ubaya gani mtu akihitaji kupata faraja ya moyo wake jamani 🥺🥺🥺
vijana wanahofia kilichomkuta boko na mamba kitamkuta sababau wote ni wapo kwenye maji yaleyale.Natafuta mwanaume serious ambae atakuja Kua mume wangu WA ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea..awe mkristo dheebu lolote .umri wangu NI miaka 33 mjasiriamali na Nina mtoto mmoja...km upo serious njoo pm mengine tutaelezana uko
mkuu unataka kumfaidi single mother alafu umkimbie tenaUkikosa uje niwe mfariji wako....achana na vijana wa hovyo hapo juu
mkuu unataka kumfaidi single mother alafu umkimbie tena
Mwanamke akiwa na mtoto usithubitu kabisa Wana dharau ugomvi kidogo anajifanya anapost mwanae kwamba mtoto ndo kila kituNi majanga mkuu mechi inaanza 1 - 0 alafu wanasupaa tukubaliane nao. Aise
Mkuu hayo mawazo mbadala jumlisha ya ex wake si utamkondeshaMimi nataka kumfariji na kumpa mawazo mbadala
Mkuu umesema ukweli, kwanza single mother hawezi kumpenda mwanaume, atajibebisha ili tu asitirike wanakuaga na siri nyingi, wameshaumizwa sana beyond repairMwanamke akiwa na mtoto usithubitu kabisa Wana dharau ugomvi kidogo anajifanya anapost mwanae kwamba mtoto ndo kila kitu
Demu nikimpenda nikijua ana mimba tu ya msela mwingine siwezi mpenda mpaka nakufa
Mkuu hayo mawazo mbadala jumlisha ya ex wake si utamkondesha
Wangeleta humu ningewashauri😂Hongera kwa ushauri mzuri mkuu, tusiwatole maneno ya kasha, ila je pia uwa unawashauri wao wasitoe maneno ya kasha kwa wanaume wafupi ?! Na wasio na magari ?!
wanakuaga na matusi, kejeli na dhihaka sana kwa wanaume wasio na "mafanikio" Au hapo huwa hauna bundle la kuwashauri eti ?!
Una dada, shangazi, mama wadogo etc... uwe na akiba ya maneno!!Aende zake huko azalishwe na mwengine aje kutafuta mume hapa na machirizi yake ya uzazi na kovu la mshono.
Lugha Gani?Ungeolewa na aliekuzalisha.
"TIINYA AGATINYA AB'ANDI"
"Ogopa wanachokiogopa na wengine"