Natafuta mume

its fine, but haina haja ya ku-spread negative comments

They are hurting so much. mimi I can feel mtoa mada.
Pole kwa mtoa mada kwa the hurting but hey ni kutokana na hurting ndio iwe fundisho kwa the rest wanaodanga mitaani na kujirahisi, high time the rest of girls got their heads up and stand by morals, dont you think so ?
 
Used Merchandise [emoji23]!!!

Aisee baba wa mtoto yupo au kashaumaliza mwendo? Mie nina bloo wangu sema hapendagi ujinga ukileta mambo ya kiwaki unakula nakoz. Una hakika utaweza kutuliza mbususu forever [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]skupanga kucheka maan mm ni wa kike lkini hii comment imenifnya nicheke
 
Pole kwa mtoa mada kwa the hurting but hey ni kutokana na hurting ndio iwe fundisho kwa the rest wanaodanga mitaani na kujirahisi, high time the rest of girls got their heads up and stand by morals, dont you think so ?
Sawa CDF bwana afande umesikika
 
Used Merchandise [emoji23]!!!

Aisee baba wa mtoto yupo au kashaumaliza mwendo? Mie nina bloo wangu sema hapendagi ujinga ukileta mambo ya kiwaki unakula nakoz. Una hakika utaweza kutuliza mbususu forever [emoji23]
huyo kaka yako yuko teyar kutuliza bloyang
 
Sasa msimtolee maneno ya kashfa.. bora yeye muwazi
Hongera kwa ushauri mzuri mkuu, tusiwatole maneno ya kasha, ila je pia uwa unawashauri wao wasitoe maneno ya kasha kwa wanaume wafupi ?! Na wasio na magari ?!

wanakuaga na matusi, kejeli na dhihaka sana kwa wanaume wasio na "mafanikio" Au hapo huwa hauna bundle la kuwashauri eti ?!
 
Kwa ushauri angetulia tu na akalea mtoto huku ukitafuta taratibu kabisa na hapa jukwaani uwe makini kuna wapigaji wengi
Kama ukipata Mme lazima awe mnyenyekevu na mwenye hofu ya dini kama utakuwa na papara tegemea kuumizwa zaidi kuliko ulivyokuwa mwanzo
Mungu akubariki na kukulinda update hitaji lako
 
Natafuta mwanaume serious ambae atakuja Kua mume wangu WA ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea..awe mkristo dheebu lolote .umri wangu NI miaka 33 mjasiriamali na Nina mtoto mmoja...km upo serious njoo pm mengine tutaelezana uko
vijana wanahofia kilichomkuta boko na mamba kitamkuta sababau wote ni wapo kwenye maji yaleyale.
 
Ni majanga mkuu mechi inaanza 1 - 0 alafu wanasupaa tukubaliane nao. Aise
Mwanamke akiwa na mtoto usithubitu kabisa Wana dharau ugomvi kidogo anajifanya anapost mwanae kwamba mtoto ndo kila kitu
Demu nikimpenda nikijua ana mimba tu ya msela mwingine siwezi mpenda mpaka nakufa
 
Mwanamke akiwa na mtoto usithubitu kabisa Wana dharau ugomvi kidogo anajifanya anapost mwanae kwamba mtoto ndo kila kitu
Demu nikimpenda nikijua ana mimba tu ya msela mwingine siwezi mpenda mpaka nakufa
Mkuu umesema ukweli, kwanza single mother hawezi kumpenda mwanaume, atajibebisha ili tu asitirike wanakuaga na siri nyingi, wameshaumizwa sana beyond repair
 
Wangeleta humu ningewashauri😂
 
Mungu akujalie upate mtu atakayekupenda na mwanao. Ila kama unaona kuna hata kanukta ka moyo wako kapo kwa baba mtoto wako tafadhali futa haraka sana hii thread maana itakuwa usumbufu kwa kijana wa watu ambaye hana hatia yoyote. Single mama wa nyakati hizi wengi wenu mmekuwa wapuuzi mno. Mimi nilitaka kuoa single Mama kama mara mbili hivi ila nikaishia kupata maumivu tu kwasababu mijamaa iliyowazalisha muda wowote anaweza chafua hali ya hewa. Sasa hivi nimetulia nasubiri hawa walioko kidato cha sita sasa hivi wakimaliza chuo ndo nioe mmojawapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…