Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hana mapepe na mbunye yeye ni mtu wa bwax tuhuyo kaka yako yuko teyar kutuliza bloyang
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana mapepe na mbunye yeye ni mtu wa bwax tuhuyo kaka yako yuko teyar kutuliza bloyang
Wanaleta kila siku jukwaa la MU usijifanye hujui kila nyuzi utaona vijana wanapewa kejeli na vibinti Ashura ndala ndefu "tafuta hela" haya sasa wamepewa mimba wametelekezwa afu unatuambia tusiwakaange.Wangeleta humu ningewashauri😂
Achukue jiko au screpa la jiko weka vizuri maelezo mkuu.mpwayungu village hili bango umelisoma?
Chukua jiko utulie.
HahahaaUngeolewa na aliekuzalisha.
"TIINYA AGATINYA AB'ANDI"
"Ogopa wanachokiogopa na wengine"
Mkuu ulizalisha kabla hujamuoa....??? na uliweza vipi kumudu zile lawama za ki-Afrika za kwanini hujamuoa....Mm binafs nimezalisha mtu sas Ni single maza mpk leo hajaolewa mwak wa kumi huu
Kabisa,,,, Bidada anajuta kuleta bandiko la kutafuta Mume,,,,Vijana wamekuwa Toxic sana hawataki ku entertain Upuuzi...Ukumbi wa send off umekua kambi ya milipupo kama tuko Kyv Ukraine
Kama yupo Mwanaume ambaye hajamuoa aliyezaa ni vipi akosekane Mwanamke aliyeacha kuolewa na aliyemzalisha?.Natafuta mwanaume serious ambaye atakuja Kua mume wangu ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea awe mkristo dheebu lolote.
Umri wangu ni miaka 33 mjasiriamali na nina mtoto mmoja. Kama upo serious njoo PM mengine tutaelezana uko.
Huku jamvini kuna mashetani, inabidi Mtoa post awapuuze tu hao washenzi wachache.Sjaona haja ya kumshambulia dada watu.. hamjui anapitia nini au alichopitia.. nyie mna conclude
Maneno yanauma lakini..Huku jamvini kuna mashetani, inabidi Mtoa post awapuuze tu hao washenzi wachache.
3rd newton's law of motionKama yupo Mwanaume ambaye hajamuoa aliyezaa nae vipi akosekane Mwanamke aliyeacha kuolewa na aliyemzalisha?.
Kila shilingi ina pande mbili.
For every action there is an equal and opposite reaction.
Look no further. The man you’re looking for is finally here. Grab this opportunity now!!!Natafuta mwanaume serious ambaye atakuja Kua mume wangu ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea awe mkristo dheebu lolote.
Umri wangu ni miaka 33 mjasiriamali na nina mtoto mmoja. Kama upo serious njoo PM mengine tutaelezana uko.
Hivi hii huwa inatokea kweli ?Ukute mtoa mada enzi za ujana wake
"Siolewi na mwalimu"
"Nataka mrefu aliyejazia kama juma mpemba"
"Nataka mwenye pesa na gari"
Haaaahaa and nooooooow. "nataka yeyote aliye serious" WTF
Mganga hajigangi.... huyo kijana unaweza kukuta naye ndio type hio hio ya kuleta mashauzi kwa wadogo zetuHongera kwa ushauri mzuri mkuu, tusiwatole maneno ya kasha, ila je pia uwa unawashauri wao wasitoe maneno ya kasha kwa wanaume wafupi ?! Na wasio na magari ?!
wanakuaga na matusi, kejeli na dhihaka sana kwa wanaume wasio na "mafanikio" Au hapo huwa hauna bundle la kuwashauri eti ?!