Natafuta mume

Natafuta mume

Mm binafs nimezalisha mtu sas Ni single maza mpk leo hajaolewa mwak wa kumi huu

Kuna shida mahli mpk mwanaume anaingia mitini Ni kwamba huwa hatupa upande wa pili ya story Nin kilitokeaa mnk siyo kawaid mtu kukuto...mba alfu akingie mitini mazima au kukuacha kbsa na kwenda kutafuta mke mwingineee Kuna shidaa
 
Dah hizi comment's za humu ndani ni wazi vijana wamekua na roho za ki Russia wanatumia silaha kali sana kushambulia hata hiyo hamu ya mwanaume sidhani Kama unayo tena.

Mi nakupa pole ila mi nipo tayari kuwa na wewe lakini siyo kwa kukuoa ili hata siku ukitaka kurudiana na jamaa wa awali nisipate fedheha na maumivu kama uko tayari poa
 
Mm binafs nimezalisha mtu sas Ni single maza mpk leo hajaolewa mwak wa kumi huu
Mkuu ulizalisha kabla hujamuoa....??? na uliweza vipi kumudu zile lawama za ki-Afrika za kwanini hujamuoa....
 
Ukumbi wa send off umekua kambi ya milipupo kama tuko Kyv Ukraine
Kabisa,,,, Bidada anajuta kuleta bandiko la kutafuta Mume,,,,Vijana wamekuwa Toxic sana hawataki ku entertain Upuuzi...

But Ukweli wanawake wengi wamekuwa Viburi sana(hasa wenye ajira),,,,Masela wengi wameoa ila wanavumilia kwa sababu wakiacha Jamiii itawaona wanatelekeza familia,,,itawaona sio Wanaume n.k..... Na mwisho wanakufa Mapema...

Na mtu ukiwapa UKWELI ili kuwaokoa na sonona bado tena watakuona una Roho mbaya,,,,katili,,hujali na mambo kibao...
 
Natafuta mwanaume serious ambaye atakuja Kua mume wangu ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea awe mkristo dheebu lolote.

Umri wangu ni miaka 33 mjasiriamali na nina mtoto mmoja. Kama upo serious njoo PM mengine tutaelezana uko.
Kama yupo Mwanaume ambaye hajamuoa aliyezaa ni vipi akosekane Mwanamke aliyeacha kuolewa na aliyemzalisha?.

Kila shilingi ina pande mbili.

For every action there is an equal and opposite reaction.
 
Kama yupo Mwanaume ambaye hajamuoa aliyezaa nae vipi akosekane Mwanamke aliyeacha kuolewa na aliyemzalisha?.

Kila shilingi ina pande mbili.

For every action there is an equal and opposite reaction.
3rd newton's law of motion
 
Natafuta mwanaume serious ambaye atakuja Kua mume wangu ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea awe mkristo dheebu lolote.

Umri wangu ni miaka 33 mjasiriamali na nina mtoto mmoja. Kama upo serious njoo PM mengine tutaelezana uko.
Look no further. The man you’re looking for is finally here. Grab this opportunity now!!!

Note: terms and conditions apply.

This advertisement has been vetted and approved by the Single & Searching Committee.
 
Ukute mtoa mada enzi za ujana wake
"Siolewi na mwalimu"
"Nataka mrefu aliyejazia kama juma mpemba"
"Nataka mwenye pesa na gari"

Haaaahaa and nooooooow. "nataka yeyote aliye serious" WTF
Hivi hii huwa inatokea kweli ?
 
Hongera kwa ushauri mzuri mkuu, tusiwatole maneno ya kasha, ila je pia uwa unawashauri wao wasitoe maneno ya kasha kwa wanaume wafupi ?! Na wasio na magari ?!

wanakuaga na matusi, kejeli na dhihaka sana kwa wanaume wasio na "mafanikio" Au hapo huwa hauna bundle la kuwashauri eti ?!
Mganga hajigangi.... huyo kijana unaweza kukuta naye ndio type hio hio ya kuleta mashauzi kwa wadogo zetu
 
Back
Top Bottom