Natafuta mume

Nisingetoa bango

[emoji3][emoji3][emoji3] pengine wako night shift vitengo nyeti

Na kweli nyeti

Ndo soko lako Mama, ni sawa na useme nauza nyama ya Kuku, wanakuja wala kuku, wewe unasema nataka Vegan au Vegeterian, hao hawali nyama.

Ni sawa lakini si kwa majina halisi.. Yaani nao wana mashaka! Mimi naweza kukuamini lakini kiuhalisia wengi wamejawa na mashaka!
Kuna watu walishatangaza wako single hapa na wakapata wapenzi kumbe wenza wao wamesafiri mbali kikazi


I have a story to tell lakini sio sasa...! Sio leo..!

IlA si wAmepata lakini

Ukiwa tayari ni tag

Wadangaji walikutana

Hivi kaka ile story yako ya Mam mkwe ilikuwa ya kweli? Kila nikikumbuka nacheka.


Hamjui mapenzi nyie sio waaminifu


sweetycandy mke wangu njoo DM tumalize hili swala

tatizo linaanzia kwenye jina,hilo jina lilikataliwa kwenye kikao cha mwezi wa 7 Equation x hili jina si lipo ktk list?

Hilo jina inabidi akawalaumu waliompatia; lasivyo watoto wote watawalaumu wazazi wao kwa kuwapatia majina yasiyopendeza.
Ila anafaa kuwa mke, chukua chuma hicho.​
 
Daaah hili andika lipo kimasihara zaid,uko tyr kuwa mke wa pili!? Maana wenye mapenz na kuoa ni wale waliopo ktk ndoa tyr!? Lkn hawa vijana utakwama maana wana kampeni ya KATAA NDOA hivyo jipange dada! Japo taarifa zako hazijakamilika vzur
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…