TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
tulikubaliana uanze wewe,unafeli wapi?Hilo jina inabidi akawalaumu waliompatia; lasivyo watoto wote watawalaumu wazazi wao kwa kuwapatia majina yasiyopendeza.
Ila anafaa kuwa mke, chukua chuma hicho.
Nimekosa sifa tajwatulikubaliana uanze wewe,unafeli wapi?
Watu mko na utani na Mungu hamuogopi hata kidogo kwaiyo uko mtaani kwako wamegoma kutongoza wewe uko na umri ganWasalam vijana na wazee wa JamiiForums mie naitwa Fetty sio muislamu lakini nimwanadada ninayetafuta humu mwenzi wakutulia naye tena awe Mkristo mwenye uhitaji wa mke.
Asiwe mdogo sana au mzee sana wastani tu
Ninachopenda ni heshima /upendo/faraja/matunzo.
Siku njema
====
Mrejesho wa kutafuta mume
uko tiari uje tuishi wote kaisho?Wasalam vijana na wazee wa JamiiForums mie naitwa Fetty sio muislamu lakini nimwanadada ninayetafuta humu mwenzi wakutulia naye tena awe Mkristo mwenye uhitaji wa mke.
Asiwe mdogo sana au mzee sana wastani tu
Ninachopenda ni heshima /upendo/faraja/matunzo.
Siku njema
====
Mrejesho wa kutafuta mume
Mbona unakashifu mtu sana shida nini au unatakaje??Watu mko na utani na Mungu hamuogopi hata kidogo kwaiyo uko mtaani kwako wamegoma kutongoza wewe uko na umri gan
NAKAZIAkataa ndoa
Kama hajaoa anao tu sio shidaHiyo miaka kuanzia 37-39 utamkuta anawatoto tayari.
All the best