Natafuta mume

Mwanamke hatafuti mwanaume ila mwanaume atakuafuta kutokana na sifa zako kama unafaa kuwa mke maana we hutafuti mume unataka mtu wa kukukwamua kiuchumi baada ya kuona maisha yanaenda kwa kusuasua hivyo unatafuta mtu wa kumtwisha mzigo wa shida ulizo nazo na hapo watajitokeza wakuone unafananaje na utashangaa hawarudi hata wakila mzigo.
 
Umemaliza kila kitu [emoji23][emoji120]
 
Huyu aliyeleta mambo ya hela, ametuharibia sana ulimwengu; hakuna hela hakuna mapenzi
 
Hujui JF ni watu wasiojulikana zaidi? Utaweza watu wa fake ID?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ