Natafuta mume

Natafuta mume

Attachments

  • IMG_4269.jpeg
    IMG_4269.jpeg
    49.9 KB · Views: 3
Ni yeye bwana🤣
Mnashida sana na mie kwanini hamuangalii maisha yenu . Kama nikuhonga muhongee , kama nikuhongwa hongeeni sasa mna hangaika na mimi kama nimewazaaaga au nimeolewa kwenu yaani na baba yenu maana wenyewe hizi id mbili mnahangaika inaonekana mtu mmoja ambaye anashida sana na maisha yangu . Achaneni namimi focus na maisha yenu jamii forum sio ya bibi yenu kiasi kwamba watu waendane nanyie mnavyotaka .
 
We Lamomy na Dada Joannah mnasemaga huyu ni mtu mmoja mwenye i'ds mbili sio kweli 🤣🤣🤣
Unawashwa namimi jianaume limbeya kama limevaa bikini hilooo jeusi kama simtank kutwa kuhangaika nawanawake sura zito kama chai jaba acha umbeya utasutwa na sauti yakulamba lamba masaa yote unamteta mwanamke .
Kuwa basi huu ni mwaka mpya kuwa na akili yakujitambuq basi ili hata ujitambue kuwa wewe ni jinsia yakusimama siyo kuchuchuma ni aibu eti .

Unamuandama dada yako hiyo ni huna akili. Mwombe Mungu akupe akili ya kiume njoo kanisani kwetu. Uombewe utoe pepo la umbeya na uswahili .
Jianaume hovyoo sio fresh
 
Mnashida sana na mie kwanini hamuangalii maisha yenu . Kama nikuhonga muhongee , kama nikuhongwa hongeeni sasa mna hangaika na mimi kama nimewazaaaga au nimeolewa kwenu yaani na baba yenu maana wenyewe hizi id mbili mnahangaika inaonekana mtu mmoja ambaye anashida sana na maisha yangu . Achaneni namimi focus na maisha yenu jamii forum sio ya bibi yenu kiasi kwamba watu waendane nanyie mnavyotaka .
Mbona unatumia uwingi?ujumbe huu unanihusu mimi na nani?au Lamomy ?
 
Back
Top Bottom