Yani Masters yako ya udaktari wa watoto inaitwa BACHELOR DEGREE YA MEDICINE IN PEDIATRICNina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.
Haaahaaa, ushafika kote huko kumchimbaIla kwenye Mct Dr haupo au kwa kua upo amerika?
Kumbe kuna wengine wanafanikiwa!Mimi nimempata humu humu jf
Ni Mume na nusu,nilipata bahati pengine
Ni mwanaume kila mwanamke angeomba kuwa nae
Nashukuru if ilinikutanisha na mume wa ndoto zangu
Niliposema kuna wengine wanatutamanisha tuwaoe pia japo tushapata wenza humu , akina To yeye waliona sina akili .Yani Masters yako ya udaktari wa watoto inaitwa BACHELOR DEGREE YA MEDICINE IN PEDIATRIC
Kweli jioe mwenyewe kama alivyosema mdau...
Akijibu hili swali lako - natoa offer ya Lunch - SERENA.1993 + 7 = 98 daresa la kwanza +7 darasa la saba 2005
4 form 4 2009 form six 2012 jkt 2013 itakua Op kikwete + 5 Muhas = 2018 2020 intern up 2o21 now ni 2022 je hiyo masters umeipataje ?????....maelezo kidogò
Mbona umekazania kueleza elimu yako sana?Kwani unamtafuta wa kubalance equations za chemistry?Jieleze ulivyo na mahitaji yako.Elimu achia wahaya.Bwana yesu asifiwe!
Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.
Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.
Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.
Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
Nitafute nipo Boulder, Colorado. Single, not married no child. +1(720)3169482Bwana yesu asifiwe!
Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.
Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.
Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.
Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
huyu hawezi kuwa na dharau coz atakuwa miongoni mwa wale walioambiwa jitahidi kusoma ili elimu ikuongezee kigezo cha kuolewa vinginevyo itakuwa ngumu...,, NAWAZA TU WAKUU.Wasomi walivyo na dharau hasavwanawake!!!?? Huyo Mume ajipange
Humu si wengi tunakuja jifurahisha tu after a busy day. Walio serious hawatafuti wenza hivi 🤣🤣🤣Miss Mia joined jf at today 4:11 pm 😂😂
Ila naona wajuba hawajakustukia sana endelea kucheza na akili zao 🤣
Bwana yesu asifiwe!
Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.
Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.
Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.
Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
🤣🤣🤣Mimi sasa hivi nimempata mtu humu ndani .
Ila hawa wengine wananifanya nitamani kuwatafuta nao [emoji85] sorry dear love
Maana ...
Atakuja nao wengi bwawani kama subjects 🤣🤣🤣Doctor vipi Una Chura?
Huwa linanifurahishaga sana hili neno " de libolo" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh trudie hilo tako au mtako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena mwanaume mwenye kende moja na mavuzziii hajanyoa.(msitu mkubwa kama wa Amazon)mwandiko wa kiume kabisa huu. atapigwa mtu humu muda si mrefu
Itakuwa wa huko hawawezi shooWanavyopenda mteremko na kazi hawana asante kuwapa kazi hapo watajaa pm maana umewahakikishia mteremko.
Huu uzi ni wa mdada kweli?
Uko marekani mamy? Basi huyu mr jobless utamtumia na nauli kila kitu utafanya wewe? Kisa watu wajuwe umeolewa?
Uko marekani si utafute hata ngozi nyeupe huko.?