Natafuta mume

Natafuta mume

Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.
Yani Masters yako ya udaktari wa watoto inaitwa BACHELOR DEGREE YA MEDICINE IN PEDIATRIC

Kweli jioe mwenyewe kama alivyosema mdau...
 
Yani Masters yako ya udaktari wa watoto inaitwa BACHELOR DEGREE YA MEDICINE IN PEDIATRIC

Kweli jioe mwenyewe kama alivyosema mdau...
Niliposema kuna wengine wanatutamanisha tuwaoe pia japo tushapata wenza humu , akina To yeye waliona sina akili .

Ila mimi nilimuonea huruma mtoa mada maana hata kile anachoongea bado hakielewi hivyo anahitaji msaada wa karibu .
 
Bwana yesu asifiwe!

Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.

Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.

Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.

Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
Mbona umekazania kueleza elimu yako sana?Kwani unamtafuta wa kubalance equations za chemistry?Jieleze ulivyo na mahitaji yako.Elimu achia wahaya.
 
Bwana yesu asifiwe!

Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.

Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.

Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.

Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm
Nitafute nipo Boulder, Colorado. Single, not married no child. +1(720)3169482
 
Wasomi walivyo na dharau hasavwanawake!!!?? Huyo Mume ajipange
huyu hawezi kuwa na dharau coz atakuwa miongoni mwa wale walioambiwa jitahidi kusoma ili elimu ikuongezee kigezo cha kuolewa vinginevyo itakuwa ngumu...,, NAWAZA TU WAKUU.
 
Bwana yesu asifiwe!

Wakuu natafuta mume ambae yuko serious kuishi na mie tufunge ndoa tuishi pamoja.

Mimi ni mzaliwa wa kilimanjaro mwaka 1993 mkoani kilimanjaro. Nina bachelor degree ya medicine niliyoipata chuo cha muhimbili na pia nina masters degree ya medicine specialise kwwa watoto kwa maana bachelor degree ya medicine in pediatric niliyoipata chuo kikuu cha hilford nchini marekani kwa sasa nina fanya kazi hospitali ya hapo hapo Hilford nchini marekani.

Sina mtoto wala mimba natafuta mwanaume yoyote hata akiwa jobless sawa maana nimechoka kukaa pekee yangu.

Natanguliza shukrani yoyote ambae yuko seriously anipm

MUNGU AKUTIMIZIE HITAJI LAKO
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mbengo zimefongokaaaaaa
Zimeacheaaaaaa acheeea oooh Ahsandeeeeeeee[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Wanawake wakitaka wenye kazi hamtaki mkiambiwa muende mkiwa jobless pia hamtaki😂😂😂😂😂
 
Wanavyopenda mteremko na kazi hawana asante kuwapa kazi hapo watajaa pm maana umewahakikishia mteremko.

Huu uzi ni wa mdada kweli?

Uko marekani mamy? Basi huyu mr jobless utamtumia na nauli kila kitu utafanya wewe? Kisa watu wajuwe umeolewa?

Uko marekani si utafute hata ngozi nyeupe huko.?
Itakuwa wa huko hawawezi shoo
 
Back
Top Bottom