Natafuta mume

Natafuta mume

Habari wana jf,

Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33. Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani. Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.

Awe na akili timamu na awe shughuli halali. Umri kuaninzia 34 na kuendelea, awe muwazi na mkweli. Kwa aliye tayari karibu sana sana pm iko wazi.

Asanteni.

Kila la Heri. Urudi tuchangie harusi
 
Mi sijawai amin km mtandaoni unaweza pata mtu sahihi


Km eneo la kazi, mitaa unayokaa, ulikozaliwa umekosa kupata ambako unaona matendo ya wahusika sembuse huku
Kuna mwamba mmoja alipatia mke humu na akaleta mrejesho wa ndoa yake kwamba amefanikiwa kupata mtoto na ndoa yake ina furaha sana.
 
Haaa haaaa
Dada angu Ongezea Sifa , tabia na uwezo wako.
Eg Una watoto wangapi ,?
Wa jamaa mmoja au tofauti?
Picha yako hata nusu umbo tu ili tufanye mkadirio mzuri wa Kazi .
Naja PM chapu .
 
Back
Top Bottom