Natafuta mume

Natafuta mume

Habari wana jf,

Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33. Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani. Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.

Awe na akili timamu na awe shughuli halali. Umri kuaninzia 34 na kuendelea, awe muwazi na mkweli. Kwa aliye tayari karibu sana sana pm iko wazi.

Asanteni.
Tuwasiliane. PM
 
Ngoja kwanzaaa....
1. Baba mtoto yuko wapi?
Kama amekufa (Mungu amuweke kama yuko hai) Basi TUONYESHE KABURI LAKE?
2. Inakuaje utafute Mume ukiwa na miaka 33.
Ulikuwa wapi siku zotee?
3. Tuambie percentage ya bond kati yako na maEx wako?
4. Anyway... Maswali mengine nitauliza PM.

#YNWA
 
Habari wana jf,

Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33. Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani. Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.

Awe na akili timamu na awe shughuli halali. Umri kuaninzia 34 na kuendelea, awe muwazi na mkweli. Kwa aliye tayari karibu sana sana pm iko wazi.

Asanteni.
Hapo kwenye kigezo cha kuwa na AKILI TIMAMU kimeniondoa kwenye kinyang'anyiro
 
mzabzab nimekupatia mzunguu umuoe uende Denmark unasemaje?
 

Attachments

  • istockphoto-1441759606-612x612.jpg
    istockphoto-1441759606-612x612.jpg
    25.3 KB · Views: 13
Kigezo cha kuwa na kazi halali imenitoa ulingoni maana mm naishi kwa kubeti ambayo sio halali kimandiko
 
Habari wana jf,

Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33. Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani. Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.

Awe na akili timamu na awe shughuli halali. Umri kuaninzia 34 na kuendelea, awe muwazi na mkweli. Kwa aliye tayari karibu sana sana pm iko wazi.

Asanteni.
Dear future wife, kigezo cha umri huwez kulegeza kdogo? i am a lil bit younger..
 
Habari wana jf,

Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33. Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani. Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.

Awe na akili timamu na awe shughuli halali. Umri kuaninzia 34 na kuendelea, awe muwazi na mkweli. Kwa aliye tayari karibu sana sana pm iko wazi.

Asanteni.

CV mbona fupi?
Dini?
Familia?Watoto?
Makazi?
 
Weka picha tusaminishe..

Je unamsabwanda au mbwa kala mbwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shida yenu mnaotafuta wenza kwenye mitandao ya kijamii huwa mnakua na sura za baba na shepu kama fidodido[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daah!
 
Back
Top Bottom