Natafuta mume

Natafuta mume

The reason ya watu kukimbilia mtandaoni ni kupata mtu Asie Mjua (yeye mtafutaji) in and out.

Sio kwamba mtaani au maeneo ya kazi hamna ila huko watu wanatujua sana mazoea yamezidi (u serious mdogo sana)

atleast humu mtandaoni ukitafuta mtu mnakutana wote Vibe 1 ila kufikia malengo ndio kipengele kingine.
Kumbe
 
Weka picha tusaminishe..

Je unamsabwanda au mbwa kala mbwa🤣🤣🤣 Shida yenu mnaotafuta wenza kwenye mitandao ya kijamii huwa mnakua na sura za baba na shepu kama fidodido🤣🤣🤣
 
😂Bas anatoka mzuri sana alafu sura Hailet ela ya unga nyumbani Wala hailipi ada yashule yawatoto😀😀
Aaah! hela sio ishu..Nafahamu nini maana ya utafutaji lkn tunapokuwa na mke mzuri hata moyoni huwa tunafarijika sana na upendo unazidi kila siku..Sasa shida mke akiwa na sura ngumu inakera kweli yani humuoni mzuri hadi upige tungi ndio unamuona mrembo🤣🤣🤣
 
Aaah! hela sio ishu..Nafahamu nini maana ya utafutaji lkn tunapokuwa na mke mzuri hata moyoni huwa tunafarijika sana na upendo unazidi kila siku..Sasa shida mke akiwa na sura ngumu inakera kweli yani humuoni mzuri hadi upige tungi ndio unamuona mrembo🤣🤣🤣
😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaijua hii ID wa stendi juzi amekatiza somewhere humu akasema alipita kutuweka sawa kuwa wewe ni mwnaume..akanivuruga kidogo kwani kuna nini na hawa jamaa ni kama hawakuelewi🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom