To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Mi ndo mkubwa wake sasaKwahiyo wewe nikupe talaka?😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ndo mkubwa wake sasaKwahiyo wewe nikupe talaka?😅
Oh ok mkuu, sasa nimeelewa 🙏Mimi ni bonge la ME na nina vigezo vyote vya huyu mrembo tatizo ni moja tu! NIMESHAWAHIWA na mrembo mwingine
Bora best uchukue Jimbo hilo😂😂Njoo mammy tuyajenge....upo mkoa gani?
😀😂😀🤣🤣
Hapo kwenye Akili Hapo.
Nenda PM sasa mkuu nyuzi ni nyingi labda imempitaI wish you could've read my thread before posting yours,,,
OhoooooooooooNjoo mammy tuyajenge....upo mkoa gani?
KumbeThe reason ya watu kukimbilia mtandaoni ni kupata mtu Asie Mjua (yeye mtafutaji) in and out.
Sio kwamba mtaani au maeneo ya kazi hamna ila huko watu wanatujua sana mazoea yamezidi (u serious mdogo sana)
atleast humu mtandaoni ukitafuta mtu mnakutana wote Vibe 1 ila kufikia malengo ndio kipengele kingine.
Kila la kheri mamii, utapata tu. Tuna vijana kibao humu wanatafuta wenza.
😂😂KhaWeka picha tusaminishe..
Je unamsabwanda au mbwa kala mbwa🤣🤣🤣 Shida yenu mnaotafuta wenza kwenye mitandao ya kijamii huwa mnakua na sura za baba na shepu kama fidodido🤣🤣🤣
Figa inaumuhimu wake...Basi tuseme sura umekosa hata shepu pia dah! 🤣🤣🤣😂😂Kha
😀😀Sasa tufanyaje na ndo tumejikuta sura zimeshakuwa zetu😀Figa inaumuhimu wake...Basi tuseme sura umekosa hata shepu pia dah! 🤣🤣🤣
Hapo kazi ipo 🤣🤣 KE sura ngumu na ME sura ngumu mtoto aneweza akatoka sura kama ya kikongwe cha enzi za mwalimu!😀😀Sasa tufanyaje na ndo tumejikuta sura zimeshakuwa zetu😀
😂Bas anatoka mzuri sana alafu sura Hailet ela ya unga nyumbani Wala hailipi ada yashule yawatoto😀😀Hapo kazi ipo 🤣🤣 KE sura ngumu na ME sura ngumu mtoto aneweza akatoka sura kama ya kikongwe cha enzi za mwalimu!
Aaah! hela sio ishu..Nafahamu nini maana ya utafutaji lkn tunapokuwa na mke mzuri hata moyoni huwa tunafarijika sana na upendo unazidi kila siku..Sasa shida mke akiwa na sura ngumu inakera kweli yani humuoni mzuri hadi upige tungi ndio unamuona mrembo🤣🤣🤣😂Bas anatoka mzuri sana alafu sura Hailet ela ya unga nyumbani Wala hailipi ada yashule yawatoto😀😀
😂😂😂Aaah! hela sio ishu..Nafahamu nini maana ya utafutaji lkn tunapokuwa na mke mzuri hata moyoni huwa tunafarijika sana na upendo unazidi kila siku..Sasa shida mke akiwa na sura ngumu inakera kweli yani humuoni mzuri hadi upige tungi ndio unamuona mrembo🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilipokuwa natafuta mwezi huku nilikuwa naambiwa kila lakheri sikujua kwanini kumbe humu vichaa wengi
Unaijua hii ID wa stendi juzi amekatiza somewhere humu akasema alipita kutuweka sawa kuwa wewe ni mwnaume..akanivuruga kidogo kwani kuna nini na hawa jamaa ni kama hawakuelewi🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]