Habari wana jf,
Mimi ni mwanamke wenye umri wa miaka 33. Mimi ni kibarua tu wa kiwanda fulani. Nimejitokeza jukwaa hili kutafuta life-mate partner ambaye ana uhitaji kama wangu.
Awe na akili timamu na awe shughuli halali. Umri kuaninzia 34 na kuendelea, awe muwazi na mkweli. Kwa aliye tayari karibu sana sana pm iko wazi.
Asanteni.
Ni kweli aiseeNmempta tahadhar tu sijamkatisha Tamaa kbsaa
Kasema umri atalegeza, try your lucky bro Program ManagerUshaambiwa anataka kuanzia miaka 34 sasa Mimi sijafika hiyo
Mgonjwa unarudi lini ??Ni kweli aisee
Kuna mwamba mmoja alipatia mke humu na akaleta mrejesho wa ndoa yake kwamba amefanikiwa kupata mtoto na ndoa yake ina furaha sana.Mi sijawai amin km mtandaoni unaweza pata mtu sahihi
Km eneo la kazi, mitaa unayokaa, ulikozaliwa umekosa kupata ambako unaona matendo ya wahusika sembuse huku
Hapo kila mmoja anakuja na matamanio na sio mikakati👏Ni kweli aisee
Acha mazoea na Mimi peleka Malaya zako huko mirembwe usinizoee tafadhali ukinijibu Tena sikujibu fala niniMgonjwa unarudi lini ??
Ngoja tuoneKasema umri atalegeza, try your lucky bro Program Manager
In short unatafuta mwanaume yeyote ambaye siyo chizi na siyo mwizi.Awe na akili timamu na awe shughuli halali.
Daaah! hili promo la kuded mtuKuwa makini, humu wengi ni teenagers na ni wajinga mno.
Wewe unastahili mtu kama mimi ambae ni matured na mwerevu
Mshahara laki 3 watoto wanje watanoKasema umri atalegeza, try your lucky bro Program Manager
Lakini siku ile ulinitukana bila kosa??Mshahara laki 3 watoto wanje watano
Kwani wewe ulichukulia siku zote ulizonitukana masihara ??Lakini siku ile ulinitukana bila kosa??
Wala sikuchukia, ila nashangaa ulivyo ni quote??, Mi nafanyaga utani tuKwani wewe ulichukulia siku zote ulizonitukana masihara ??
Ukitaka kutodhihakiwa basi jua kuwa humu sio maroboti ni watu wanamioyo na wanahuzunika pia
Basi fanya Kwa kipimo unazidiWala sikuchukia, ila nashangaa ulivyo ni quote??, Mi nafanyaga utani tu
haya madam, uko poa lakini??Basi fanya Kwa kipimo unazidi
Mkuu una shamba la mpunga na mifugomimi mwenyewe nina huitaji sema sina pesa ila kula utakula pm iko wazi