Natafuta mume

Kweli wajinga hii Nchi ni wengi., "awe na mtaji wa kuanzia milion mia" kwani unaolewa na mtaji au unaolewa na mwanaume. Wew hata akija kapuku kama anajielewa olewa naye tu mengine Mungu ataajilia.
Mjinga mwenyewe na ukoo wako
 
Wenye videgree vyetu na mishahara ya kuunga unga ngoja tukae pembeni kwanza..😃
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo anazopigwa nazo na hachomoiiii.

Safari hii asikubali tutampa mbwinuu ila akikutana na kende kubwa kubwa atajijua mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaaaa sasa wasiokunywa pombe na kutovuta sigara ndio wasabato
 
Mi niliandaa tu kiuno kama silaha ya vita [emoji12][emoji12]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaandaa kiuno wewe dancer wa Malaika band?!!

Hapa ni makuta tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
SASA HUYO.MWENYE SIFA HIZO NI MUME WA MTU AU SINGLE FARTHER

[emoji1][emoji274][emoji16]
BLAD FUCKING. [emoji116][emoji116][emoji116]
Click
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaandaa kiuno wewe dancer wa Malaika band?!!

Hapa ni makuta tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hujasoma namba 6.? nifanyishe mazoezi basi ili nikafaulu interview ya mamilioni.. sitakusahau
 
Kwamba sisi wasabato tumekukosea nini hadi utukatae mapema kabisa?

Ningekupa kijana wangu ila basi tena!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…