Natafuta mume

Utapata kwa vigezo vyako nenda hiteli za 5 star aisee huku wapo wa juu tu ila mmh
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naona umefurahi daka mchuma mzee baba
 
Shule mnafungua lini?. Maliza shule kwanza, usituletee mambo za kina Baba Jose hapa.
 
Kinacho furahisha ni wanaume kutoka maneno makali halafu mnakuja PM. Contradiction!!!!
Wakuachee mwayaa, wee tafuta hitaji lakoo, inshaallah utapataa.
Kila LA kheri mwayaa, JF izoeee ndo iko hivi kila siku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shida kwangu ni pombe tu, hayo mengine hayajanishtua.
Elimu nimerithi vyeti na navitumia fresh tu.
 
Picha
 
Wewe huna hata cheti

Mwandiko wako unathibitisha hilo

Nakupm namba ya binamu yangu
 
Dah! masikitiko ninayo mimi vigezo vingi sina

Sina biashara ya Mil100
Sina mshahara wa mil3
Ni msabato aisee noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…